Waziri Simbachawene Aruhusu Kutumika Kwa Nyumba Za Askari
HomeHabari

Waziri Simbachawene Aruhusu Kutumika Kwa Nyumba Za Askari

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene ameruhusu askari polisi kuanza kutumia nyumba za kisasa zenye uwezo wa kukaliwa na f...

Rais Samia apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Zimbabwe
Serikali yapunguza gharama za kuvuka Daraja la Nyerere
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo May 23


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene ameruhusu askari polisi kuanza kutumia nyumba za kisasa zenye uwezo wa kukaliwa na familia zaidi ya 300 zilizopo eneo la Kunduchi na Mikocheni mkoani Dar es salaam.

Waziri Simbachawene amesema hayo wakati wa ziara yake ya kukagua mradi huo wa nyumba za kisasa za makazi ya askari.

Amesema kuanza kutumika kwa nyumba hizo kutasaidia kupunguza uhaba wa nyumba za askari, na kutaleta ufanisi kwa askari wanapotekeleza majukumu yao ya kazi za Kipolisi.

Kwa upande wake mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Simon Sirro amesema zaidi ya miaka mitatu imepita tangu kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa nyumba hizo.

Amesema baadhi ya nyumba hizo kwa sasa zimeanza kuchakaa kutokana na kutokaliwa kwa muda mrefu, pamoja na kukosa matunzo.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Simbachawene Aruhusu Kutumika Kwa Nyumba Za Askari
Waziri Simbachawene Aruhusu Kutumika Kwa Nyumba Za Askari
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyi5fbrvux7blVt6ji6WPgRZdIGo2pncIHfa8l8c35CqIw73_RVGITWMkqMkrfWS3aw33a8dy5eFpuJoPalTE_cUxk4tBTLVwtsQfUZz8ujZu_-HclMQ4k5qzCUJD_vBOdDTD8hkhJ-Lkv/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyi5fbrvux7blVt6ji6WPgRZdIGo2pncIHfa8l8c35CqIw73_RVGITWMkqMkrfWS3aw33a8dy5eFpuJoPalTE_cUxk4tBTLVwtsQfUZz8ujZu_-HclMQ4k5qzCUJD_vBOdDTD8hkhJ-Lkv/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/waziri-simbachawene-aruhusu-kutumika.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/waziri-simbachawene-aruhusu-kutumika.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy