POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA
HomeMichezo

POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA

GEORGE Mketo, Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushirikiano ambao wanaonyesha wachezaji ndani ya uwanja unawapa nguvu ya kufa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
NAMUNGO FC YAREJEA BONGO, TAYARI KWA LIGI KUU BARA

GEORGE Mketo, Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushirikiano ambao wanaonyesha wachezaji ndani ya uwanja unawapa nguvu ya kufanya vizuri kwenye mechi zao ambazo zimebaki.

Ikiwa imecheza jumla ya mechi 32 imekusanya pointi 42 kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku kinara akiwa ni Simba mwenye pointi 73.

Kocha huyo amesema kuwa kila mchezaji anatimiza majukumu yake ndani ya uwanja jambo ambalo linawafanya wawe na imani ya kupata matokeo kwenye mechi zao ambazo zimebaki.

"Kila mchezaji anapambana ili kupata pointi tatu ni lazima kila mmoja apambane ili kuona timu inashinda na kwa namna ambavyo wachezaji wanafanya kwetu ni furaha.

"Tunajua kwamba ushindani ni mkubwa hilo lipo wazi na ni jambo zuri kwa sababu ili kuwa na timu imara lazima ipate ushindani kutoka kwa wengine hilo halitupi tabu," .

Miongoni mwa wachezaji wakongwe ndani ya Polisi Tanzania ni pamoja na beki kisiki, Kelvin Yondan ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Malale Hamsini.

Yondani alijiunga na Polisi Tanzania akiwa ni mchezaji huru baada ya mabosi wake wa Yanga kuachana naye msimu uliopita.


Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA
POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhX-LTbcoHWZtAwwfIRCv-ADdLTCcZytyTywUQ6bCEQ31WREhTbGGNrmVFQK_KXn_sjWzr9Eh7WTq0G83iNfwwRnEtROBPBgdLPGAX6jr3XJTZ5iM2TA81-OAhm-CqZaEicEkXpo1hg0h73/w640-h640/Yondan.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhX-LTbcoHWZtAwwfIRCv-ADdLTCcZytyTywUQ6bCEQ31WREhTbGGNrmVFQK_KXn_sjWzr9Eh7WTq0G83iNfwwRnEtROBPBgdLPGAX6jr3XJTZ5iM2TA81-OAhm-CqZaEicEkXpo1hg0h73/s72-w640-c-h640/Yondan.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/polisi-tanzania-yataja-kinachowabeba.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/polisi-tanzania-yataja-kinachowabeba.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy