Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani
HomeHabari

Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani

Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema nchi hiyo inakaribisha mpango wowote wa kufanyika mazungumzo mapya baina yake na Marekani, lakini kam...

Kagame asema atagombea tena urais wa Rwanda 2024
Uhuru Kenyatta: Nilikuwa tayari kuachia urais ili kulinda damu za Wakenya
Rais Samia afanya uteuzi BASATA


Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema nchi hiyo inakaribisha mpango wowote wa kufanyika mazungumzo mapya baina yake na Marekani, lakini kamwe haiweza kuondoa mezani chaguo la vita.

Kim Jong-un amenukuliwa akisema hayo jana Ijumaa na shirika rasmi la habari la nchi hiyo KCNA ambapo amesisitiza kuwa, Korea Kaskazini inapaswa kuwa tayari na kujiandaa kwa makabiliano na Marekani.

Kiongozi huyo wa Korea Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kukabiliana na vitisho vyovyote vya maadui wa nchi hiyo ya Peninsula ya Korea.

Ameashiria ujio wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani na kubainisha kuwa, "Pyongyang inapaswa kujiweka tayari barabara hususan kwa makabiliano, kwa shabaha ya kulinda hadhi ya taifa letu."

Ikumbukwe kuwa, Juni mwaka 2019, aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini walikutana katika mpaka usiokuwa wa kijeshi wa Korea Kaskazini na Korea Kusini.

Kabla ya hapo, wawili hao walikutana mara mbili nchini Singapore na Vietnam, lakini vikao hivyo havijakuwa na tija, kwani Washington iliendelea kuiwekea Pyongyanga vikwazo, huku Pyongyang nayo ikiendelea kufanyia majaribio makombora yake ya balestiki.

Pyongyanga inasema Marekani ilijipotezea fursa hizo za kipekee za kuzika uhasama na kufungua ukurasa mpya wa uhusiano baina ya pande mbili hizo hasimu.

-Parstoday



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani
Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggawJmIsQEDtCtmxuH-eRTYKy5bOtez8T8wzPjhIv4nC54zQXNr0_fjXn2Dv7ZTZxKOusRJfYuoNRhXw8_AsG9Iwxxe7rB4Uteq6RF-I_f_IgRJwXVePtyTIPsri_j6fGmCHYXygOokKI7/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggawJmIsQEDtCtmxuH-eRTYKy5bOtez8T8wzPjhIv4nC54zQXNr0_fjXn2Dv7ZTZxKOusRJfYuoNRhXw8_AsG9Iwxxe7rB4Uteq6RF-I_f_IgRJwXVePtyTIPsri_j6fGmCHYXygOokKI7/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/kim-ataka-korea-kaskazini-ijiandae-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/kim-ataka-korea-kaskazini-ijiandae-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy