Jamii Yatakiwa Kushiriki Mapambano Dhidi Ya Ukatili Wa Kijinsia
HomeHabari

Jamii Yatakiwa Kushiriki Mapambano Dhidi Ya Ukatili Wa Kijinsia

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka jamii ya kitanzania kushiriki kikamilifu ka...

Jafo Asitisha Shughuli Za Uchimbaji Wa Madini Ya Nickel Mlima Yobo Wilayani Chamwino
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Disemba 31
Rais Mwinyi amteua Charles Hilary kuwa Mkurugenzi mpya wa Idara ya Mawasiliano Ikulu


Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka jamii ya kitanzania kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia katika maeneo yao.
 
Hayo yamebainika jana jijini Dodoma katika kikao kilichokutanisha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii na Shirika la UNFPA kilicholenga kujadili jinsi ya kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii.
 
Akizungumza katika kikao hicho, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Stanslaus Nyongo amesema vitendo vya ukatili wa kijinsia vinatokea katika jamii na hivyo Jamii inawajibu wa kukomesha vitendo hivyo.
 
Ameongeza kuwa elimu inahitajika kwa kiasi kikubwa kwa jamii katika kuhakikisha inabadili mitazamo ambayo kwa kiasi kikubwa inasababisha vitendo vya ukatili wa kijinsia katika familia na jamii
 
“Tukifanikiwa kubadili mitazamo ya jamii zetu katika baadhi ya mambo hasi itasaidia sana kupungua kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii zetu” alisema Mhe. Nyongo
 
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa Serikali inashirikiana na wadau mbalimbali likiwemo shirika la UNFPA katika kuhakikisha inawafikia jamii hasa za vijijini katika kuwapatia elimu katika midahalo na mikusanyiko  mbalimbali kuhusu madhara ya vitendo vya ukatili kwa ustawi wa jamii
 
Naibu Waziri Dkt. Mollel ameongeza kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii zetu vinatokana malezi na makuzi ndani ya Jamii.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Jamii Yatakiwa Kushiriki Mapambano Dhidi Ya Ukatili Wa Kijinsia
Jamii Yatakiwa Kushiriki Mapambano Dhidi Ya Ukatili Wa Kijinsia
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyY4lj2wWC2RXFOzCKKNSnmBbTaePXEHfxDJAzt4xFkMeWKZ1HolKYtF0T0SA9YO9UqvQneqKzGM9fH_Dh54DrfbiXdc8H7SiDsSHGIuLc5SlspSaAswVMwtEaYuxFEYL-y6RytS8HH_Ix/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyY4lj2wWC2RXFOzCKKNSnmBbTaePXEHfxDJAzt4xFkMeWKZ1HolKYtF0T0SA9YO9UqvQneqKzGM9fH_Dh54DrfbiXdc8H7SiDsSHGIuLc5SlspSaAswVMwtEaYuxFEYL-y6RytS8HH_Ix/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/jamii-yatakiwa-kushiriki-mapambano.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/jamii-yatakiwa-kushiriki-mapambano.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy