YANGA KAZI INAENDELEA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA 2021/22
HomeMichezo

YANGA KAZI INAENDELEA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA 2021/22

 MABINGWA wa taji la Kuu Bara mara 27 ndani ya ardhi ya Tanzania Yanga wameendelea kujiweka sawa kwa ajili ya msimu wa 2021/22 licha ya ba...


 MABINGWA wa taji la Kuu Bara mara 27 ndani ya ardhi ya Tanzania Yanga wameendelea kujiweka sawa kwa ajili ya msimu wa 2021/22 licha ya baadhi ya nyota wa timu hiyo kuwa katika majukumu katika timu zao za taifa.


Mataifa mengi ya Afrika kwa sasa ni maandalizi kuelekea katika mechi za kufuzu Kombe la Dunia jambo ambalo limefanya idadi ya wachezaji katika timu kupungua.


Miongoni mwa wachezaji wa Yanga walioitwa katika timu zao za taifa ni pamoja na Khalid Aucho, raia wa Uganda pia yupo Ramadhani Kabwili, Feisal Salum na Dickson Job hawa ni wazawa.


Ambao wameendelea na mazoezi miongoni mwao ni pamoja na Dickson Ambundo ambaye, Deus Kaseke, Paul Godfrey wengi hupenda kumuita Boxer.


Kwa msimu wa 2020/21, Yanga ilimaliza ikiwa nafasi ya pili baada ya kukusanya pointi 74 na ilipachika mabao 52 katika mechi 34.


Iliweka kambi kwa muda mfupi nchini Morocco kisha ghafla ikarejea ndani ya ardhi ya Tanzania na kwa sasa imeweka kambi Avic Town, Kigamboni.




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA KAZI INAENDELEA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA 2021/22
YANGA KAZI INAENDELEA KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA 2021/22
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirTT9NTxy61VhFI2uW4Lq60iunCkAEqOy_Jz6gYAOPulLzHJyQheee8iTvAgXQ6j6H2OSFY94DS4vSNsz7OrDSmmii1Jd-lGypg0my-VORO5TSsBq4L5k8PMcIxobx3VpW06QJjoRfr1qy/w636-h640/dizo_click-240931912_931625844083331_6063478313128063541_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirTT9NTxy61VhFI2uW4Lq60iunCkAEqOy_Jz6gYAOPulLzHJyQheee8iTvAgXQ6j6H2OSFY94DS4vSNsz7OrDSmmii1Jd-lGypg0my-VORO5TSsBq4L5k8PMcIxobx3VpW06QJjoRfr1qy/s72-w636-c-h640/dizo_click-240931912_931625844083331_6063478313128063541_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/yanga-kazi-inaendelea-kwa-ajili-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/yanga-kazi-inaendelea-kwa-ajili-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy