KAIZER CHIEFS BAADA YA KUTUA BONGO HOFU TUPU, WATAJA CORONA NA MWAMUZI
HomeMichezo

KAIZER CHIEFS BAADA YA KUTUA BONGO HOFU TUPU, WATAJA CORONA NA MWAMUZI

 BAADA ya wapinzani wa Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika kutua ardhi ya Bongo wameanza kuwa na wasiwasi juu ya mchezo wao wa kesho unao...

RATIBA YA SIMBA KIMATAIFA, UPANDE WA ULINZI BADO TATIZO
TAMBWE:SIJALIPWA FEDHA ZANGU NA YANGA
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

 BAADA ya wapinzani wa Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika kutua ardhi ya Bongo wameanza kuwa na wasiwasi juu ya mchezo wao wa kesho unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.

Kaizer Chiefs inayonolwa na Kocha Mkuu, Gavin Hunt ina kibarua cha kulinda ushindi wao wa mabao 4-0 ambao waliupata nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa FNB.

Wakati wao wakiwa na hesabu hizo za kulinda ushindi, Simba chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes hesabu zao ni kupindua meza kibabe ili waweze kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali.

Hofu ya kwanza ambayo walikuwa nayo Kaizer Chiefs ni suala la Corona ambapo Mkurugenzi wa Masoko wa timu hiyo, Jessica Motaung amesema kuwa wana wasiwasi juu ya vipimo vya Corona huku akibainisha kwamba wao wapo vizuri.

"Nina wasiwasi juu ya mapokezi ambayo tutayapata Dar. Uzuri ni kwamba tayari wachezaji wetu wote wapo vizuri na hawana Virusi vya Corona,".

Wachezaji ambao walitua jana walikuwa wakilalamikia kwamba wanaamini mchezo utakuwa mgumu ila hawana imani na suala la waamuzi pamoja na hali ya hewa kuwa tofauti kidogo.

Ili Simba iweze kusonga mbele hatua ya nusu fainali inahitaji ushindi wa mabao 5-0 jambo ambalo Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa linawezekana ikiwa wachezaji wataamua.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KAIZER CHIEFS BAADA YA KUTUA BONGO HOFU TUPU, WATAJA CORONA NA MWAMUZI
KAIZER CHIEFS BAADA YA KUTUA BONGO HOFU TUPU, WATAJA CORONA NA MWAMUZI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgAe5gO7ncqvVIcmzqaaXLZpHk49nJNrt6fPEvZ6PRwWr14IyRjXCUJ5BkBLHb2f0gcDGO3vCbJUEm-SkZ_59VDWchSl_ii35QkeJRizLjbYdj4O_ZwCyb2mUYZPP4bd34tHArBvRv_5lZ/w640-h426/Luis+v+Kaizer.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgAe5gO7ncqvVIcmzqaaXLZpHk49nJNrt6fPEvZ6PRwWr14IyRjXCUJ5BkBLHb2f0gcDGO3vCbJUEm-SkZ_59VDWchSl_ii35QkeJRizLjbYdj4O_ZwCyb2mUYZPP4bd34tHArBvRv_5lZ/s72-w640-c-h426/Luis+v+Kaizer.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/kaizer-chiefs-baada-ya-kutua-bongo-hofu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/kaizer-chiefs-baada-ya-kutua-bongo-hofu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy