AUSSEMS: UBORA UTAIBEBA SIMBA SC KWA KAIZER
HomeMichezo

AUSSEMS: UBORA UTAIBEBA SIMBA SC KWA KAIZER

  KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na kusajili wac...

LUIS AIKUMBUSHE SIMBA MAPEMA KUNA HATARI MBELE
SAUTI YA MAGUFULI ITABAKI MASIKIONI MWETU KUUA UNAFIKI WETU
POGBA AIPELEKA MANCHESTER UNITED ROBO FAINALI EUROPA LEAGUE

 

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na kusajili wachezaji wenye uwezo wa kutumikia timu hiyo huku akisisitiza hatashangaa ikiwa Simba itafanikiwa kuifunga Kaizer Chiefs, kesho Jumamosi katika mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Aussems ametoa kauli hiyo kuelekea katika mchezo huo ambao unatarajiwa kupigwa kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Soccer City uliopo Afrika Kusini. 

 

Akizungumza na Championi Ijumaa, Aussems alisema kuwa kufanya vizuri kwa Simba kunatokana na ubora wa usajili uliofanywa na timu hiyo, hivyo ina kila sababu ya kupata matokeo katika mchezo wowote wa Ligi ya Mabingwa Afrika. 

 

“Kwanza mchezo wao na Kaizer hautakuwa rahisi licha ya Kaizer kutopewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri kutokana na namna timu ilivyo kwa sasa, lakini bado mchezo utakuwa mgumu kwa sababu wanavyocheza kwenye Ligi ya Mabingwa wanakuwa tofauti zaidi.

 

“Lakini bado imani yangu kubwa ipo kwa Simba, hili linatokana na namna walivyofanikiwa katika usajili wa timu kwa kuweza kuongeza wachezaji wenye uwezo wa kupambana na ndiyo kitu pekee kitakachoweza kuibeba kupata matokeo katika mchezo huo,” alisema Aussems.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AUSSEMS: UBORA UTAIBEBA SIMBA SC KWA KAIZER
AUSSEMS: UBORA UTAIBEBA SIMBA SC KWA KAIZER
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6OOao7PY9vG46ADDOXk0s0TuWTaDbB8rQKIsHKzEwPhFCDua77Ic9xbJyxgpn1S5Mf9nKnmQvWLV0SUT_rak1cAjsOCzLvZCM_9JYm0CXzW6hoILqJVUyhClbCY3TFdYiR7yvtw1VWLXe/w640-h640/aussemspatrick_152189805_265022618597372_6423280078674023282_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6OOao7PY9vG46ADDOXk0s0TuWTaDbB8rQKIsHKzEwPhFCDua77Ic9xbJyxgpn1S5Mf9nKnmQvWLV0SUT_rak1cAjsOCzLvZCM_9JYm0CXzW6hoILqJVUyhClbCY3TFdYiR7yvtw1VWLXe/s72-w640-c-h640/aussemspatrick_152189805_265022618597372_6423280078674023282_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/aussems-ubora-utaibeba-simba-sc-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/aussems-ubora-utaibeba-simba-sc-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy