SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU MANULA KUSEPA KUELEKA KWA WAARABU
HomeMichezo

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU MANULA KUSEPA KUELEKA KWA WAARABU

  K OCHA Mkuu wa  Simba, Mfaransa  Didier Gomes  ameibuka na kutamka  kuwa kamwe hatakubali  kumuachia kipa wake  namba moja Aishi  Manula...

METACHA MNATA ASIMAMISHWA NDANI YA YANGA
SIMBA KAZINI KESHO MBELE YA POLISI TANZANIA
MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA UPO NAMNA HII

 KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes ameibuka na kutamka kuwa kamwe hatakubali kumuachia kipa wake namba moja Aishi Manula aondoke katika kikosi chake kutokana na ubora wake alionao.

 Hiyo ni baada ya kupata taarifa za kipa huyo kuwaniwa na Al Merrikh ya nchini Sudan ambayo nayo inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu huu.

 

Gomes amesema kuwa amezisikia taarifa za kipa wake kuhitajika na Merrikh ambazo kwake hazimtishi akiamini Manula hatakwenda huko na badala yake ataendelea kubakia kukipiga Simba.


Mfaransa huyo amesema kuwa ni ngumu kwake kumuachia Manula kwa hivi sasa kutokana na uimara, kiwango bora alichonacho hivyo atahakikisha anapambana kuishawishi Bodi ya Wakurugenzi ya Simba iliyo chini ya mwenyekiti wake Mohammed Dewji ‘Mo’ imbakize Simba.

 

Gomes anapata jeuri ya kipa huyo kubakia Simba kutokana na timu hiyo aliyokuwa anaifundisha kutokuwa na uwezo wa kifedha kumsajili baada ya kuyumba kiuchumi.

 

“Mimi nilikuwepo Merrikh kabla ya kuja Simba, hivyo ninaifahamu vizuri timu hiyo akiwemo rais wake hivyo ni ngumu kumsajili Manula.

 

“Timu hiyo ninafahamu imeyumba kiuchumi hivi sasa hivyo hawana fedha ya kumsajili na kingine hata kama wangekuwa na fedha kiasi gani nisingeweza kumruhusu kuondoka Simba na hiyo ni kutokana na ubora wake.

 

“Siyo Merrikh hata klabu nyingine yoyote asingeondoka, lipo wazi Manula yupo katika kiwango bora zaidi, ni kipa anayejua majukumu yake vizuri.


“Nimepata taarifa za kuwa mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu, hivyo nitazungumza na viongozi kwa ajili ya kumuongezea mkataba mpya ili aendelee kubakia hapa Simba,” amesema Gomes.


Chanzo:Championi



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU MANULA KUSEPA KUELEKA KWA WAARABU
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU MANULA KUSEPA KUELEKA KWA WAARABU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSfMyEQKHUQLGnkizaFOUn49ng29-ByXgOihobVmaJdTfP6IQ58VdJR31yRN2a-iGVxEEu5i6okvs7oTzlVZcuO26NB5ltHPJMYgJ1dc5214CnnH_mPk04wys5dpaz2ZvMaY4TXZ3Na0ED/w640-h380/manula+save.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSfMyEQKHUQLGnkizaFOUn49ng29-ByXgOihobVmaJdTfP6IQ58VdJR31yRN2a-iGVxEEu5i6okvs7oTzlVZcuO26NB5ltHPJMYgJ1dc5214CnnH_mPk04wys5dpaz2ZvMaY4TXZ3Na0ED/s72-w640-c-h380/manula+save.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-yatoa-tamko-kuhusu-manula-kusepa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-yatoa-tamko-kuhusu-manula-kusepa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy