NAMUNGO FC: TUPO TAYARI KWA MCHEZO WA KIMATAIFA
HomeMichezo

NAMUNGO FC: TUPO TAYARI KWA MCHEZO WA KIMATAIFA

 HEMED Morroco, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa watarekebisha makosa yao na kupata ushindi mbele ya Nkana FC kwenye mchezo wa Kombe ...

KMC YAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR
MTAMBO WA MABAO KAGERA SUGAR WAPANIA KUFANYA VIZURI
MAN CITY KUCHEZA NA ARSENAL JUMAPILI HII, KITAWAKA

 HEMED Morroco, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa watarekebisha makosa yao na kupata ushindi mbele ya Nkana FC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa leo Aprili 11 Jumapili dhidi ya Nkana.

 Wawakilishi hao wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika, watakuwa Uwanja wa Levy Mwanawasa, Zambia, ukiwa ni mchezo wa nne wa michuano hiyo hatua ya makundi ambapo timu hizo zipo Kundi D.

 

Katika mchezo uliopita baina ya timu hizo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar, Namungo ilikubali kichapo cha bao 1-0.

 

Akizungumza na Saleh JembeMorocco amesema: “Hii ni nafasi nyingine kwetu kupambana kwa ajili ya kutetea heshima ya taifa letu, tumewapa maandalizi ya kutosha vijana wetu na kufanya marekebisho ya mapungufu tuliyoyabaini katika michezo iliyopita.

 

“Kila mchezo kwetu ni nafasi ya kujifunza kwa kuwa hii ni mara ya kwanza kushiriki mashindano haya makubwa, hivyo tutapambana kuona tunapata matokeo mazuri, kama walitufunga kwetu basi na sisi tunaweza kupata matokeo bora kwao," .


Katika kundi D, Namungo haijakusanya pointi baada ya kupoteza mechi zote tatu na jana ilikwea pipa kuibukia Zambia ambapo leo itakuwa uwanjani kupeperusha Bendera ya Tanzania.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NAMUNGO FC: TUPO TAYARI KWA MCHEZO WA KIMATAIFA
NAMUNGO FC: TUPO TAYARI KWA MCHEZO WA KIMATAIFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiB-7ZcTSSUJVU3RxrrrWWdhbJH67LG32AjYZGlAZ5ZleLFQnzfDfIAVdfGF92QHl9-H6T6hnPWi5gs1mLm_0y7kzihF4AbR5U6t3E9k8tBhs4IRZ1_jWq-_SDvx5v1Z_SUu9OihG9DNY5U/w640-h486/Namungo+kikosi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiB-7ZcTSSUJVU3RxrrrWWdhbJH67LG32AjYZGlAZ5ZleLFQnzfDfIAVdfGF92QHl9-H6T6hnPWi5gs1mLm_0y7kzihF4AbR5U6t3E9k8tBhs4IRZ1_jWq-_SDvx5v1Z_SUu9OihG9DNY5U/s72-w640-c-h486/Namungo+kikosi.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/namungo-fc-tupo-tayari-kwa-mchezo-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/namungo-fc-tupo-tayari-kwa-mchezo-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy