TATU BORA ZA MAGUFULI MSIMU WA 2015/16 ILIKUSANYA MABAO 162
HomeMichezo

TATU BORA ZA MAGUFULI MSIMU WA 2015/16 ILIKUSANYA MABAO 162

BAADA ya mpambanaji wa muda wote, John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuanza kazi Novemba 2015, Ikulu ya Magogoni Dar, nda...

ORODHA YA MAJINA YA WACHEZAJI YANGA WATAKAOSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA
MKWANJA WA KUTOSHA WAWEKWA MEZANI NA GSM KISA WANAIJERIA
KAMBI YA SIMBA MOROCCO IMEZUA JAMBO HILI

BAADA ya mpambanaji wa muda wote, John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuanza kazi Novemba 2015, Ikulu ya Magogoni Dar, ndani ya Ligi Kuu Bara aliweza kushuhudia ushindani mkubwa na timu tatu zilikuwa ndani ta tatu bora.

Leo hatunaye tena Magufuli baada ya Makamu wa  Rais, Samiah Suluhu ambaye kwa sasa ni Rais kutangaza taarifa hizo Machi 7.

Mwili wa Magufuli, unatarajiwa kupumzishwa Chato, Geita Machi 25 na leo upo Visiwani Zanzibar.

Hizi hapa ni tatu bora baada ya kumaliza ligi na ubingwa ulikuwa mikononi mwa Yanga ambayo kwa sasa inaongoza Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 50.

Baada ya timu zote kucheza jumla ya mechi 30 mambo yalikuwa namna hii:-Yanga ilikuwa nafasi ya kwanza na pointi zake 73 ilishinda jumla ya mechi 22, sare 7 na ilipoteza mechi moja, safu ya ushambuliaji ilifunga mabao 70 na ile ya ulinzi iliruhusu mabao 20.

Nafasi ya pili ilikuwa ni Azam FC ilikusanya pointi 64 ilishinda mechi 18, sare 8 na ilipoteza 2. Mabao ilifunga 47 na ilifungwa 24.

Simba nafasi ya tatu ilikusanya pointi 62, ilishinda mechi 19, sare 5 na ilipoteza mechi 6. Safu ya ushambuliaji ilifunga mabao 45 na ile ya ulinzi iliruhusu mabao 17.

Alishuhudia tatu bora zikukusanya jumla ya mabao 162 ya kufunga na mabao 61 ya kufungwa.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: TATU BORA ZA MAGUFULI MSIMU WA 2015/16 ILIKUSANYA MABAO 162
TATU BORA ZA MAGUFULI MSIMU WA 2015/16 ILIKUSANYA MABAO 162
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqNrNAzTqvTcpeNlq5pXbN1O8HYGd3wHIWo7IZk7CZ0F0v0-RmHP8WBE3FxaxirmFxwXq4Tt0Ej66hAeJOI418I6e-mN49gXozzAtK6t3BbqGjFoo1yZYoJMVs0wAuXqS1t9deiiO9UPtD/w640-h360/magutena.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqNrNAzTqvTcpeNlq5pXbN1O8HYGd3wHIWo7IZk7CZ0F0v0-RmHP8WBE3FxaxirmFxwXq4Tt0Ej66hAeJOI418I6e-mN49gXozzAtK6t3BbqGjFoo1yZYoJMVs0wAuXqS1t9deiiO9UPtD/s72-w640-c-h360/magutena.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/tatu-bora-za-magufuli-msimu-wa-201516.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/tatu-bora-za-magufuli-msimu-wa-201516.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy