KOCHA CHELSEA AFIKIRIA KUONGEZA BEKI WA KATI
HomeMichezo

KOCHA CHELSEA AFIKIRIA KUONGEZA BEKI WA KATI

  INAAMINIKA kwamba nyota wa kikosi cha RB Leipzig,  Dayot Upamecano ni miongoni mwa orodha ya majina yaliyopo kwenye mpango wa Kocha Mku...

AZAM FC: MAGUFULI AMEFANYA MAKUBWA, ATAKUMBUKWA
YANGA YAWASHUSHA PRESHA MASHABIKI, AHADI YA UBINGWA HAIJAPOTEA
NBA, KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2022 NA AFCON KURINDIMA!!

 


INAAMINIKA kwamba nyota wa kikosi cha RB Leipzig,  Dayot Upamecano ni miongoni mwa orodha ya majina yaliyopo kwenye mpango wa Kocha Mkuu wa Chelsea,  Thomas Tuchel. 


Ripoti zinaeleza kuwa Tuchel ambaye ni mrithi wa mikoba ya Frank Lampard macho yake kwa upande wa usajili yanatazama nyota ambao wanashiriki Bundesliga na anahitaji beki wa kati.


Tuchel tayari ameanza kazi ndani ya Stamford Bridge huku akionekana kuleta mabadiliko ndani ya timu na ana matumaini ya kuboresha zaidi kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao..


Kwa mujibu wa Bild,gazeti la Habari la Ujerumani limeripoti kuwa Tuchel katika akili yake kuna majina ya mabeki watatu ambao ni Niklas Sule na David Alaba wa Bayern Munich pamoja na Upamecano.


Alaba mwenye miaka 28 pia anatajwa kuwaniwa na Liverpool pamoja na Liverpool ambao nao wanawania saini yake.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KOCHA CHELSEA AFIKIRIA KUONGEZA BEKI WA KATI
KOCHA CHELSEA AFIKIRIA KUONGEZA BEKI WA KATI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjS_eZUTDWYavWVFpZ4chw-8bhX4b3pcmTL_53fYLUPnBPTCNDZ8WMVoS6uIpIpph3bD_C8GWReiL6rTL95EjRBmx8HeoT6P64Xk06eetzX-xIYaDtfwQfgv_KrCo1a_JfPr6K3-PL7PErx/w640-h640/IMG_20210206_094104_345.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjS_eZUTDWYavWVFpZ4chw-8bhX4b3pcmTL_53fYLUPnBPTCNDZ8WMVoS6uIpIpph3bD_C8GWReiL6rTL95EjRBmx8HeoT6P64Xk06eetzX-xIYaDtfwQfgv_KrCo1a_JfPr6K3-PL7PErx/s72-w640-c-h640/IMG_20210206_094104_345.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/kocha-chelsea-afikiria-kuongeza-beki-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/kocha-chelsea-afikiria-kuongeza-beki-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy