KOCHA AZAM FC ATAJA SABABU ZA KUMTUMIA KIPA NAMBA NNE
HomeMichezo

KOCHA AZAM FC ATAJA SABABU ZA KUMTUMIA KIPA NAMBA NNE

  GEORGE Lwandamina,Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa ataendelea kumtumia kipa namba nne wa kikosi hicho ili aweze kujenga hali ya kujia...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
VIDEO: MORRISON AOMBA RADHI KWA MASHABIKI KISA YANGA
GRIEZMANN AWEKWA SOKONI

 


GEORGE Lwandamina,Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa ataendelea kumtumia kipa namba nne wa kikosi hicho ili aweze kujenga hali ya kujiamini.

Wilbol Maseke ni kipa namba nne ndani ya kikosi cha Azam FC ambapo aliweza kuonekana vema kwenye Kombe la Mapinduzi, Visiwani Zanzibar.

Mabingwa hao wa kihistoria wa Kombe la Mapinduzi wakiwa wameutwaa ubingwa mara tano waliishia hatua ya nusu fainali baada ya kutolewa na Yanga ambao ni mabingwa kwa penalti 4-3 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1.

Kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga, Maseke alianza kikosi cha kwanza na alifungwa bao moja kabla ya mpira kuisha alitolewa dakika za lala salama na nafasi yake ikachukuliwa na kipa Benedict Haule.

Makipa wengine wa Azam FC ni pamoja na David Kissu ambaye ni kipa namba moja na Mathias Kigoya ambaye ni ingizo jipya ndani ya kikosi.

Lwandamina amesema:"Maseke  ni kipa mzuri bado nitaendelea kumpa nafasi kikosi cha kwanza ili aweze kujenga hali ya kujiamini, ".



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KOCHA AZAM FC ATAJA SABABU ZA KUMTUMIA KIPA NAMBA NNE
KOCHA AZAM FC ATAJA SABABU ZA KUMTUMIA KIPA NAMBA NNE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwSZqYPIzGRarbrQL0K5mC8JGdp3hSVZUOYVPzkd82GiONay3n2ngH8S4bZwhXAp_AM0u0kbUrQh0kkSztOM94rNLj-ENz3jK6XO8hebb0p1hciKcyAM7Wl3NdPuzv0oammdvx8uQE_RlT/w640-h640/IMG_20210127_115130_330.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwSZqYPIzGRarbrQL0K5mC8JGdp3hSVZUOYVPzkd82GiONay3n2ngH8S4bZwhXAp_AM0u0kbUrQh0kkSztOM94rNLj-ENz3jK6XO8hebb0p1hciKcyAM7Wl3NdPuzv0oammdvx8uQE_RlT/s72-w640-c-h640/IMG_20210127_115130_330.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/kocha-azam-fc-ataja-sababu-za-kumtumia.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/kocha-azam-fc-ataja-sababu-za-kumtumia.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy