JOSE MOURINHO:KUKASIRIKA KWA WACHEZAJI KAWAIDA WAKIFUNGWA
HomeMichezo

JOSE MOURINHO:KUKASIRIKA KWA WACHEZAJI KAWAIDA WAKIFUNGWA

JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham amesema kuwa kitendo cha wachezaji wake kukasirika ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo n...

SIMBA KUKOSA NYOTA WAKE WAWILI KIKOSI CHA KWANZA LEO
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
NAMUNGO: TUMEPATA FUNZO

JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Klabu ya Tottenham amesema kuwa kitendo cha wachezaji wake kukasirika ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo ni jambo la kawaida kutokea hasa pale ambapo timu inakuwa imefungwa.

Januari 28, Mourinho alikiongoza kikosi chake kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool na kukubali kupoteza kwa kufungwa mabao 3-1.

Habari zimeeleza kuwa wakati wa mapumziko wachezaji walikuwa wakilaumiana huku zigo kubwa la lawama akipewa beki Serge Aurier kwa kuwa alishindwa kuongeza uimara kwenye safu ya ulinzi dakika za mwisho kabla ya mapumziko na kuruhusu Liverpool kupata bao la kuongoza.

Roberto Firmino alifunga bao hilo la kwanza kwa Liverpool akiwa chini ya uangalizi wa Aurier na Eric Dier ambao walikuwa kwenye safu ya ulinzi.

Mourinho aliamua kumfanyia mabadiliko Aurier ambaye alikasirika na anatajwa kusepa uwanjani wakati wachezaji wenzanke wakiingia kumalizia dakika 45 za kipindi cha pili na waliokota nyavuni mabao mengine mawili.

Pia inaelezwa kuwa nyota huyo inaweza kuwa ngumu kwake kubaki ndani ya kikosi hicho kwa kuwa amebakiza dili la miezi 18 kumaliza mkataba wake ndani ya timu hiyo.

 Jose Mourinho kuhusu kumtoa beki huyo amesema:-"Ulikuwa ni wakati mgumu na hali ambayo walikuwa nayo wachezaji na ilikuwa ni ngumu kuweza kukubali suala la kupoteza.

"Ni ngumu kukubali asili hasa ya kufungwa mabao ila huwezi kuzuia namna ambavyo inatokea ndani ya uwanja hasa pale ambapo unapata nafasi ndani ya dakika moja. Ni kweli ni hali ya wachezaji hawakuwa na furaha hivyo ni jambo la kawaida," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: JOSE MOURINHO:KUKASIRIKA KWA WACHEZAJI KAWAIDA WAKIFUNGWA
JOSE MOURINHO:KUKASIRIKA KWA WACHEZAJI KAWAIDA WAKIFUNGWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRFRy4kkJEUBX3IhnCeST7EeEzoaOYOV4YEeaZJSFVDGp7A9AkL8bwWld8w1k1ndxffLg-4zDbDWEfuugJM4zOkeDf7GbTgBUkONEknvfw_w29IB3vHXqRORTPcqlLg-SJmYlvQJlvkjTJ/w640-h428/Eric+Spurs.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRFRy4kkJEUBX3IhnCeST7EeEzoaOYOV4YEeaZJSFVDGp7A9AkL8bwWld8w1k1ndxffLg-4zDbDWEfuugJM4zOkeDf7GbTgBUkONEknvfw_w29IB3vHXqRORTPcqlLg-SJmYlvQJlvkjTJ/s72-w640-c-h428/Eric+Spurs.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/jose-mourinhokukasirika-kwa-wachezaji.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/01/jose-mourinhokukasirika-kwa-wachezaji.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy