Wafamasia wataka utafiti kupata dawa za nguvu za kiume Tanzania
HomeHabariTop Stories

Wafamasia wataka utafiti kupata dawa za nguvu za kiume Tanzania

Chama Cha Wafamasia Tanzania PST, Kanda Ya Nyanda Za Juu Kusini Kimetoa Wito Kwa Serikali Ya Tanzania Kuweka Mkazo Katika Utafiti Wa Ndani I...

Chama Cha Wafamasia Tanzania PST, Kanda Ya Nyanda Za Juu Kusini Kimetoa Wito Kwa Serikali Ya Tanzania Kuweka Mkazo Katika Utafiti Wa Ndani Ili Tanzania Iweze Kuwa Mzalishaji Wa Dawa Za Binadamu Ikiwemo Zinazotibu Tatizo la Nguvu za Kiume

Mwenyekiti Wa PST Kanda Ya Nyanda Za Juu Kusini Jackson Nzinza Ametoa Kauli Hiyo Leo Katika Ziara Ya Viongozi Wa Chama Hicho Kwenye Bohari Ya Dawa Na Hospitali Ya Rufaa Mkoa Wa Iringa Kuhimiza Mafamasia Kujiunga na PST

Amesema Kuwa Kutokana Na Uwepo Wa Dawa Mbalimbali Zinazodaiwa Kutibu Tatizo La Nguvu Za Kiume Hapa Nchini Serikali Inaweza Kuweka Kipaumbele Katika Utafiti Wa Dawa Hizo Ili Kupata Tiba Iliyothibitishwa

Ziara hiyo pia ililenga kuhamasisha wanataaluma kushiriki Mkutano Mkuu wa Wafamasia unaotarajiwa kufanyika kuanzia Desemba 4 hadi 6, mwaka huu, jijini Dodoma.

Nzinza ameelezea umuhimu wa kufanya utafiti wa kina kuhusu dawa ya mkuyati, inayotumika sana miongoni mwa jamii ya Wamaasai.

Naye Robert Lugembe ni Mfamasia na Meneja wa Bohari Kanda ya Iringa, amesema viongozi wa wafamasia wamepata fursa ya kujifunza jinsi wanavyohudumia wateja na kuwahamasisha wanachama kuwa na umoja katika utekelezaji wa kazi zao.

Kwa upande wao, Jojina Fredric Kabugumila, Mfamasia kutoka Hospitali ya Rufaa ya Iringa, na Dr. Veronica Mahembe kutoka Hospitali ya Rufaa Mbeya, wameishukuru serikali ya Awamu ya Sita, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuwezesha upatikanaji wa dawa kwa wakati, tofauti na kipindi cha nyuma.

The post Wafamasia wataka utafiti kupata dawa za nguvu za kiume Tanzania first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/iVWgDXx
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Wafamasia wataka utafiti kupata dawa za nguvu za kiume Tanzania
Wafamasia wataka utafiti kupata dawa za nguvu za kiume Tanzania
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2024/11/IMG-20241122-WA0016-950x633.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2024/11/wafamasia-wataka-utafiti-kupata-dawa-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2024/11/wafamasia-wataka-utafiti-kupata-dawa-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy