Tanzania Ya Tano Afrika Kuzalisha Mionzi Dawa
HomeHabari

Tanzania Ya Tano Afrika Kuzalisha Mionzi Dawa

Na.Catherine Sungura,Siha Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa. Hayo yamesem...


Na.Catherine Sungura,Siha

Tanzania ni kati ya nchi tano Afrika na ni nchi pekee Afrika Mashariki inayozalisha mionzi dawa.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri na Mbunge wa jimbo la Siha Dkt. Gwodin Mollel wakati wa ufunguzi wa Maabara ya Afya ya Jamii iliyoko katika hospitali ya Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto iliyofunguliwa na Makamu wa Rais Mhe.Philip Mpango

Alisema hatua hiyo imetokana na uwekezaji mkubwa wa vifaa tiba uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita.

Dkt. Mollel alisema uwekezaji huo umeweza pia kuifanya Tanzania kuwa na uwezo wa kupasua vivimbe vya ubongo bila kupasua kichwa na hivyo kupunguza gharama kwa Serikali ambazo ilikua inazipata kwa kuwapeleka wagonjwa nje ya nchi ikiwemo India.

Alitolea mfano kwa upasuaji wa vivimbe vya ubongo kwa nje ya nchi kwa mgonjwa mmoja ilikua ikigharimu Milioni 90 lakini kwa hapa nchini upasuaji kama huo unafanyika kwa Milioni 8.

Kwa upande wa kupandikiza Uloto Dkt. Mollel alisema kwa mgonjwa mmoja nje ya nchi Serikali ilikua ikilipa Milioni 250 lakini kwa sasa hapa nchini upandikizaji huo unafanywa kwa Milioni 70 na hivyo kuokoa kiasi cha shilingi Milioni 180.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania Ya Tano Afrika Kuzalisha Mionzi Dawa
Tanzania Ya Tano Afrika Kuzalisha Mionzi Dawa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7MMdgGCQeE0Ib_C2pfu231ysbkCpMtcOOXBn2j76zCS10GYSrQWixwzTYPeXOq0Bm12HxHqMjIeTnkjF23EiyXo4eB9maT0vr1SOdQMP1Nq0wlA1rXY9osg-iIdZ3mOzYmdLOOxVMYONVFT8sXtfPmDYZDFfJqOe8M9B5QOtuJx2wMvJq3_Vymhgz_g/s16000/IMG-20220717-WA0042.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7MMdgGCQeE0Ib_C2pfu231ysbkCpMtcOOXBn2j76zCS10GYSrQWixwzTYPeXOq0Bm12HxHqMjIeTnkjF23EiyXo4eB9maT0vr1SOdQMP1Nq0wlA1rXY9osg-iIdZ3mOzYmdLOOxVMYONVFT8sXtfPmDYZDFfJqOe8M9B5QOtuJx2wMvJq3_Vymhgz_g/s72-c/IMG-20220717-WA0042.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/07/tanzania-ya-tano-afrika-kuzalisha.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/07/tanzania-ya-tano-afrika-kuzalisha.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy