Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu
HomeHabari

Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu

Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Ukraine kuwa itakabiliwa na mashambulio makali zaidi iwapo itathubutu kupokea makombora ya masafa ...


Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Ukraine kuwa itakabiliwa na mashambulio makali zaidi iwapo itathubutu kupokea makombora ya masafa marefu kutoka nchi za Magharibi.

Akiungumza katika mahojiano na Televisheni ya Russia 1 leo Jumapili, Rais Putin ameashiria uwezekano wa Ukraine kupokea makombora ya masafa marefu na kusema: "Iwapo itakabidhiwa makombora hayo, basi tutatumia silaha zetu, ambazo tunazo za kutosha, na tutalenga maeneo ambayo hadi sasa hatujayalenga."

Rais wa Russia aidha amesema uamuzi wa Marekani wa kutuma mfumo wa kuvurumisha makombora kadhaa mara moja ambao Rais Joe Biden aliahidi kuikabidhi Ukraine hautaleta chochote kipya kwa askari wa Kiev. Amesema silaha hizo hazina maana kwani hivi sasa jeshi la Ukraine lina mifumo sawa na hiyo ya makombora aina ya Grad, Smerch, na Uragan ambayo imekuwa ikiimiliki tokea zama za Sovieti.

Putin amesema kukabidhiwa Ukraine silaha mpya hakuna lengo jingine isipokuwa kurefusha mgogoro huo.

Hayo yanajiri wakati ambao mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa, vita nchini Ukraine vimeleta mgogoro wa chakula katika kila kona ya dunia lakini wakati huo huo nchi za umoja huo na Marekani zinaendelea kuchochea vita hivyo na kuisheheneza silaha Ukraine.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu
Putin aionya Ukraine isijaribu kumiliki makombora ya masafa marefu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_fOijJMCGW0s9G8szbaAXpp1ZokApJtyhkkhAzYy9in-XuJfkX9bmwel-Z7ySKRCYY7iyb3T_C12pI9F8VbDX7uF0nDFFdAr0VIGwyH01LfP23n5Uk0WVyksUirW3RNClwM_KWuP3Xz05VsNucevIa8yLWGmP1evUA7gY5vKOGVNgFcbS8TIT8e8_2w/s16000/3.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_fOijJMCGW0s9G8szbaAXpp1ZokApJtyhkkhAzYy9in-XuJfkX9bmwel-Z7ySKRCYY7iyb3T_C12pI9F8VbDX7uF0nDFFdAr0VIGwyH01LfP23n5Uk0WVyksUirW3RNClwM_KWuP3Xz05VsNucevIa8yLWGmP1evUA7gY5vKOGVNgFcbS8TIT8e8_2w/s72-c/3.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/putin-aionya-ukraine-isijaribu-kumiliki.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/putin-aionya-ukraine-isijaribu-kumiliki.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy