Wakurugenzi watano MSD waondolewa
HomeHabari

Wakurugenzi watano MSD waondolewa

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuondolewa kazini Wakurugenzi watano wa Bohari ya Dawa (MSD), kufuatilia malalamiko mengi ambayo y...

Prof. Shemdoe atengua kitendawili cha uhamisho
Habari Zilizopo Katika Magaxeti ya Leo May 07
OFA: Viwanja Vinauzwa Goba Kwa Bei Nzuri Kabisa


Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuondolewa kazini Wakurugenzi watano wa Bohari ya Dawa (MSD), kufuatilia malalamiko mengi ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge na wadau wengine kuhusu utendaji usioridhisha wa bohari hiyo.

Waziri Ummy Mwalimu ameliambia bunge jijini Dodoma kuwa pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan kubadilisha uongozi wa juu wa MSD na kumteua mwenyekiti mpya wa bodi, hatua hiyo ilikuwa haitoshi kutokana na malalamiko mengi yaliyokuwa yakitolewa.

“Mkurugenzi wa Fedha anaondoka MSD, Mkurugenzi wa manunuzi MSD, Mkurugenzi wa Logistics MSD, Mkurugenzi wa Sheria MSD na Mkurugenzi wa Utawala wa MSD anaondoka.” amesema Waziri Ummy Mwalimu

Waziri huyo wa Afya ametangaza uamuzi huo wakati akihitimisha mjadala wa bajeti kwa wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023, baada ya kuchangiwa na wabunge mbalimbali.

Pia amesema wizara ya afya itasimamia ubora na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba na kuipima MSD kwa upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa miezi mitatu mitatu badala ya mwezi mmoja mmoja


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Wakurugenzi watano MSD waondolewa
Wakurugenzi watano MSD waondolewa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPtFHstiW-ThBWZXphR7jhy7sJhsSb5mDW84DxtX8oNcBZ2DdzIzl_NYLOmD0Kcg4bNXExSusbrj_mvuIp4lx9rPobbx6OPL9f9f7P6hm-RExa3Ro-SZ9ye-W6iBCB9KU1LQDbVVyai0VznUu_7_Tae7UKUTdxC19Nn6f-QT7Zu6xuXAdix8Ow0Oe-kQ/s16000/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPtFHstiW-ThBWZXphR7jhy7sJhsSb5mDW84DxtX8oNcBZ2DdzIzl_NYLOmD0Kcg4bNXExSusbrj_mvuIp4lx9rPobbx6OPL9f9f7P6hm-RExa3Ro-SZ9ye-W6iBCB9KU1LQDbVVyai0VznUu_7_Tae7UKUTdxC19Nn6f-QT7Zu6xuXAdix8Ow0Oe-kQ/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/wakurugenzi-watano-msd-waondolewa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/wakurugenzi-watano-msd-waondolewa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy