Kukamatwa Kwa Nyara Za Serikali Pamoja Na Gongo Lita 570 Na Watuhumiwa
HomeHabari

Kukamatwa Kwa Nyara Za Serikali Pamoja Na Gongo Lita 570 Na Watuhumiwa

Na.Abel Paul wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishina msadizi wa Polisi ACP Justine Masejo ameviambi...


Na.Abel Paul wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishina msadizi wa Polisi ACP Justine Masejo ameviambia vyombo vya habari kuwa tarehe 02.03.2022 muda wa 07:30 mchana huko maeneo ya Ngarenaro katika halmashauriya jijila Arusha askari Polisi walifanikiwa kuwakamata watuhumi wa wawili ambaoni AMANDA THOMAS (22) mkazi wa kwa Morombo na KELVIN THOMAS (27) mkazi wa Ngarenaro wakiwa na nyama Pori ya mnyama Pofu KG150.

Kamanda Masejo amesema kuwa uchunguzi wa awaliwa tukio hili umebaini kuwa watuhumi wahao wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo ya nyara za serikali ambapo uchunguzi unaendelea kwa kushirikiana na askari wanyama Pori ili kubaini mtandao wao.

Ameendelea kusema kuwa Katika tukio jingine tarehe 02.03.2022 muda wa saa 09:30 alasiri huko kata ya RHOTIA tarafa ya mbulumbulu wilaya ya karatu na Mkoa wa Arusha askari Polisi walifanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili ambao ni PETRO GAUDENCE (57) mkazi wa mbulumbulu na REVOCATUS PROTUS (28) mkazi wa mbulumbulu wa kiwa na lita 570Ltr za Pombe haramu ya moshi (gongo).

ACP Masejo amewambia waandishi kuwa Operesheni kali inaendelea katika wilaya zote ili kubaini wanaofanya biashara hizo, hivyo ni watake baadhi ya watu wanaojihushisha na biashara hizo haramu ya gongo Pamoja na nyara za serikali kuacha mara moja kwani hatuto muonea muhari mtu yeyote anayejihusisha na biashara hizo haramu.

Amesema kuwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linaendelea na upelelezi wa matukio nayo na  mara baada ya upelelezi kukamilika majalada hayo yatapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa hatua zaidi za kisherai.

Kamanda Masejo ametoa wito kwa kila wananchi kuwa mlinzi na kulinda rasilimali za nchi adhimu ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi
juu ya uhalifu na wahalifu wanaohujumu rasilimali za Nchi ili hatua kali za
sheria zichukuliwe dhidi yao.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kukamatwa Kwa Nyara Za Serikali Pamoja Na Gongo Lita 570 Na Watuhumiwa
Kukamatwa Kwa Nyara Za Serikali Pamoja Na Gongo Lita 570 Na Watuhumiwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjj2AYimrxwS7OMMsE7I6uZ4I4OAL7eXuUDn49tI8oHU_PqvvL7W6FNJrJYNJr85Z_9RiYzzBH48GBgztS7I4siEU5xoGYTVdY9iLg7zdDq1chJMiGuscFS36-Mibck64J5J4n0Ofjc9GpHF9OmkhjqLLMbLvhhJOyIhLB94DSwI7kOSj6mHgqtF7naLA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjj2AYimrxwS7OMMsE7I6uZ4I4OAL7eXuUDn49tI8oHU_PqvvL7W6FNJrJYNJr85Z_9RiYzzBH48GBgztS7I4siEU5xoGYTVdY9iLg7zdDq1chJMiGuscFS36-Mibck64J5J4n0Ofjc9GpHF9OmkhjqLLMbLvhhJOyIhLB94DSwI7kOSj6mHgqtF7naLA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/kukamatwa-kwa-nyara-za-serikali-pamoja.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/kukamatwa-kwa-nyara-za-serikali-pamoja.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy