Wauza Damu Na Viungo Vya Binadamu Sikonge Mbaroni
HomeHabari

Wauza Damu Na Viungo Vya Binadamu Sikonge Mbaroni

Na Lucas Raphael,Tabora Jeshi la polisi mkoani Tabora linawashikilia watu wanne akiwemo mganga wa kienyeji aliyekuwa akinunua damu kwa s...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Disemba 24
TAEC Yafanikiwa Kuzuia Uingizwaji Nchini Shehena Inayodaiwa Kuwa Na Viasili Vya Mionzi
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Disemba 23


Na Lucas Raphael,Tabora
Jeshi la polisi mkoani Tabora linawashikilia watu wanne akiwemo mganga wa kienyeji aliyekuwa akinunua damu kwa shilingi 600,00 ikiwemo  viungo vya binadamu ambavyo ni  sehemu za siri za wanawake na  wanaume kwa ajili ya shughuli za Uganga

Akizungumza na  waandishi wa habari mkoani hapa ofisini kwake jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard  Abwao(ACP)alisema kwamba katika Operesheni ya kukamata watu waliofanya mauaji januari 21 mwaka huu kwa kuumua mwanafunzi wa darasa la nne aliyekuwa anasoma shule ya Msingi Tutuo mwenye umri wa miaka 14 ilifanikiwa katika wilaya ya Sikonge mkoani hapa.

Alisema kwamba baada ya tukio hilo ufuatiliaji ulianza na kufanikiwa kuwakata watu watatau waliotiliwa mashaka katika mahojiano dhidi yao walimtaja mganga anayeusika kununua viungo vya Binadamu .

Alisema kwamba baada ya kukamwatwa kwa mganga huyo wa kienyeji na kufanyiwa mahojiano alikiri kuwa napelekewa viungo vya binadamu ambavyo ni sehemu za sri za mwanamke na sehemu za sri za mwanaume  .

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard  Abwao alisendelea kusema kwamba mganga huyo  aliemtaja kwa majina mtu mwengine ambaye jina limehifadhiwa na sehemu anapopatikana ambapo baada ya taarifa hiyo juhudi za kumtafuta zilifanyika hadi kupelekea kukamatwa kwake ambapo alihojiwa na katika mahojiano ya awali amekiri kuhusika katika utendaji wa  matukio ya mauaji  maeneo mbalimbali.

Alisema kwamba baada ya kufanya mauaji huyo uchukua damu kwa kuwachoma na kitu chenye incha kali katika shingo na kuchukua damu inayoruka na kuikinga katika chupa ndogo na kisha damu hiyo huuzwa kiasi cha Tsh 600,000/=.

Kamanda huyo wa polisi aliongeze kusema kwamba mtu huyo uchukua  baadhi ya viungo vya miili yao ambavyo huwa wanapeleka kwa waganga wa kienyeji ambao huwa ndio wanaowaagiza na kisha kuwalipa fedha kulingana na makubaliano.

Hata hivyo katika mahojiano hayo mtuhumiwa huyo amewataja watu wengine ambao anashirikiana nao katika utekelezaji wa mauaji hayo.

Alisema kwamba mpaka sasa watuhumiwa wanne tayari wamekamatwa na upelelezi unaendelea ili kufikia lengo la kuukamata mtandao wote wa watu wanaohusika na mauaji ambapo  majina yao yamehifadhi kwa ajili ya uchunguzi zaidi.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Wauza Damu Na Viungo Vya Binadamu Sikonge Mbaroni
Wauza Damu Na Viungo Vya Binadamu Sikonge Mbaroni
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiYj3vnpRvY9JzZT1JTm_DG-PH2ekWXREIxyXDonx_vDTFSIUGZkBJSU8sULLGB-Q7TiUeZ4pJKB2uXu_2gooAkMQiZjKScP0c245YqxyMECdK97DeLSHuCI3-mclNxPmGYe6hI17kFXx_Cbn-MRedglSczgAXyvs1gAopD2MC-NPMfl4ucSvzus4URDg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiYj3vnpRvY9JzZT1JTm_DG-PH2ekWXREIxyXDonx_vDTFSIUGZkBJSU8sULLGB-Q7TiUeZ4pJKB2uXu_2gooAkMQiZjKScP0c245YqxyMECdK97DeLSHuCI3-mclNxPmGYe6hI17kFXx_Cbn-MRedglSczgAXyvs1gAopD2MC-NPMfl4ucSvzus4URDg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/wauza-damu-na-viungo-vya-binadamu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/wauza-damu-na-viungo-vya-binadamu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy