Marekani yamuua kiongozi wa IS nchini Syria
HomeHabari

Marekani yamuua kiongozi wa IS nchini Syria

Kiongozi wa kundi la Islamic State (IS), Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurayshi, aliuawa wakati wa operesheni iliyofanywa kaskazini mwa Syria...

Zitto: Nitaipaisha ACT kama Chadema
Azam Tv wanunua Ligi Kuu ya Kenya
Chama cha ACT chamwandalia Zitto makazi >>>Soma yote hapa


Kiongozi wa kundi la Islamic State (IS), Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurayshi, aliuawa wakati wa operesheni iliyofanywa kaskazini mwa Syria, ametangaza Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi hii Februari 3. Wanajeshi wote wa Marekani wako salama salimini, amesema.

Katika taarifa iliyotolewa siku ya Alhamisi, Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la Islamic State aliuawa katika operesheni ya jeshi la Marekani nchini Syria usiku wa Jumatano Februari 2 kuamkia Alhamisi Februari 3.

Abu Ibrahim al-Hashimi al-Qurayshi aliuawa katika mlipuko aliojisababishia mwenyewe. "Mwanzoni mwa operesheni hiyo, mlengwa wa kigaidi alilipua bomu ambalo lilimuua yeye na watu wa familia yake, wakiwemo wanawake na watoto," afisa mkuu wa Ikulu ya White House amesema.

Vikosi maalum vya Marekani vilisafirishwa kwa helikopta kabla ya alfajiri siku ya Alhamisi katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Syria, operesheni ambayo ni nadra ya aina yake ambayo ilisababisha vifo vya watu 13, wakiwemo wanawake na watoto, kulingana na shirika moja lisilo la kiserikali.

Mnamo mwezi Oktoba 2019, shambulio kama hilo lilimwangamiza Abu Bakr al-Baghdadi, kiongozi wa zamani wa kundi la Islamic State.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Marekani yamuua kiongozi wa IS nchini Syria
Marekani yamuua kiongozi wa IS nchini Syria
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgXKG403y_ExV7ZQAA7dkxyFNcjkkGnep6yIc5JHKs8YldZJsrYsiZnHtBpX9EzrtbEUH-G4stedKen-dEzIBkCaaBhwNjoDEHLAv3vKvhLGZ6eR1k7RvVsqzu_MScNc_7NIE7R2wMGMHIU29jktl98UWCb8sXTYx4vQX1SU8AbONTtYSwfR6gjLVt3og=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgXKG403y_ExV7ZQAA7dkxyFNcjkkGnep6yIc5JHKs8YldZJsrYsiZnHtBpX9EzrtbEUH-G4stedKen-dEzIBkCaaBhwNjoDEHLAv3vKvhLGZ6eR1k7RvVsqzu_MScNc_7NIE7R2wMGMHIU29jktl98UWCb8sXTYx4vQX1SU8AbONTtYSwfR6gjLVt3og=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/marekani-yamuua-kiongozi-wa-is-nchini.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/marekani-yamuua-kiongozi-wa-is-nchini.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy