Waziri Bashungwa Aagiza Kusimamishwa Kazi Aliyekuwa Meneja Tarura Njombe
HomeHabari

Waziri Bashungwa Aagiza Kusimamishwa Kazi Aliyekuwa Meneja Tarura Njombe

Na. Angela Msimbira Njombe Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu...


Na. Angela Msimbira Njombe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais –TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe kumrudisha makao makuu na kumpangia kazi nyingine aliyekuwa Meneja wa TARURA Mkoa wa Njombe Mhandisi Ibrahim Kibasa aliyehamishiwa Mkoa wa Ruvuma.

Ametoa maelekezo hayo leo wakati akikagua ujenzi wa Daraja la Ruhiji lenye urefu wa mita 22 na upana wa mita 8 lililopo katika barabara ya mabatini – Ramadhani yenye urefu wa kilometa 1.4 linalounganisha kata ya Njombe Mji na Kata ya Ramadhani, Halmashauri ya Njombe Mji, Mkoani Njombe.

Waziri Bashungwa amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Daraja hilo ambalo lilianza kujengwa Mei 21, 2020 na lilitakiwa kukamilika Septemba, 2020

“ Kuna uzembe mkubwa katika ujenzi wa daraja hili ambalo ni kiungo muhimu kwa wananchi wa maeneo haya kwa kuwa wanatumia daraja hili kwa ajili ya kusafirisha mazao yao sokoni, hivyo kususua kwa ujenzi daraja hatuwatendei haki wanachi” amesema Bashungwa

Waziri Bashungwa amemuagiza Meneja TARURA Mkoa wa Njombe Mhandisi Gerald Matindi kuhakikisha anamsimamia mkadarasi anayejenga daraja hilo kukamilisha kwa muda uliopangwa , pia amempa muda wa miezi sita kutatua changamoto za miundombinu katika Mkoa Njombe

Akiwa katika kijiji cha mbalache, kata mbalache , Halmashauri ya Wilaya ya Makete waziri bashungwa ameagiza kuanza mara moja kwa ujenzi wa barabara ya lupila – Kipengere yenye urefu kilometa 5 kwa kiwango cha changarawe na kutoa wiki mbili mkandarasi kuanza ujenzi huo.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhandisi Marwa Rubirya amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuiongezea TARURA bajeti kutoka shilingi bilioni 8.44 mwaka 2022/2021 hadi milioni 22.529 mwaka 2021/2022



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Bashungwa Aagiza Kusimamishwa Kazi Aliyekuwa Meneja Tarura Njombe
Waziri Bashungwa Aagiza Kusimamishwa Kazi Aliyekuwa Meneja Tarura Njombe
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgqYLODM9qNnnK4UoRKcRoHxY10WwJQ12Os2DcmHqGx-8TLkgV57XbjrJXn_fiJSpcj_yu_bVO3u26BOnxEoFtTM0nvx5SdXLr0WZaWuUMhfgztnosOMRtITzEyWTQse3I0dgomqvap4bDi7dLpN3a9yaOKHoGicyBjCv3vp7U-hJImdTrxvIePRkzXcQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgqYLODM9qNnnK4UoRKcRoHxY10WwJQ12Os2DcmHqGx-8TLkgV57XbjrJXn_fiJSpcj_yu_bVO3u26BOnxEoFtTM0nvx5SdXLr0WZaWuUMhfgztnosOMRtITzEyWTQse3I0dgomqvap4bDi7dLpN3a9yaOKHoGicyBjCv3vp7U-hJImdTrxvIePRkzXcQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/waziri-bashungwa-aagiza-kusimamishwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/waziri-bashungwa-aagiza-kusimamishwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy