Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui Apata Uviko-19
HomeHabari

Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui Apata Uviko-19

Waziri wa Afya, Ustawi wa jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amepata maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 lakini ...

Wakandarasi Watakao Chelewesha Miradi Ya Maji Kutoongezewa Muda
Wajumbe RCC Waiomba Serikali Kuhuisha Mradi Wa Veta Sumbawanga Ili Kuwakomboa Wananchi
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Kuanza Kuwafuatilia Wadaiwa Sugu


Waziri wa Afya, Ustawi wa jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amepata maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 lakini hali anaendelea vizuri.

Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, Mazrui amesema alibainika kuwa na ugonjwa huo juzi Desemba 24 baada ya kwenda kupimwa hospitalini.

“Siku ya Alhamisi nilianza kujisikia homa kali mafua, kuharisha nilienda hospitali kupima nikakutwa na maambukizi kwahiyo kwasasa nimejitenga nyumbani siendi kazini mpaka kipindi cha wiki moja niangalie hali itakavyokuwa,” amesema

Amesema hata mtu akienda kumtembelea nyumbani kwake kwa sasa wanaongelea dirishani ili kuepusha kusambaza maambukizi ya ugonjwa huo.

Amewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa huo na kuchanja akidai kwamba chanjo ndio imemsaidia kupunguza ukali wa ugonjwa huo

“Ugonjwa upo na watu wanaumwa lakini hawaendi hospitali kupimwa na kupata matibabu, wengi wanabaki nyumbani na kujitibu wenyewe, tutoke twende hospitalini, lakini wananchi waendelee kunawa mikono kuvaa barakoa na kuacha mikusanyiko isiyo ya lazima,” amesema

 

Credit:Mwananchi

 



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui Apata Uviko-19
Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui Apata Uviko-19
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEip81qUvkaCoiAHT_Swb5Ocyx8WUhCN-2bmcTcmDeRzTDATbUaR3qpsj9IBJiNucJGofC969HOUHCeIXUn3uL_GpfQerkKe6sOLYw295LWZM4uIEsL9GpnpdGwnS6uSMZKBTRNlYkyvxd6x_rbXhrOKoNgibI0c7nQSGd1maPIjVsJzptVI4ebjJGaEhg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEip81qUvkaCoiAHT_Swb5Ocyx8WUhCN-2bmcTcmDeRzTDATbUaR3qpsj9IBJiNucJGofC969HOUHCeIXUn3uL_GpfQerkKe6sOLYw295LWZM4uIEsL9GpnpdGwnS6uSMZKBTRNlYkyvxd6x_rbXhrOKoNgibI0c7nQSGd1maPIjVsJzptVI4ebjJGaEhg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/waziri-wa-afya-zanzibar-nassor-ahmed.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/waziri-wa-afya-zanzibar-nassor-ahmed.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy