Tanzania yapokea dozi nyingine 115,200 za chanjo Uviko-19
HomeHabari

Tanzania yapokea dozi nyingine 115,200 za chanjo Uviko-19

Na WAMJW-DSM Tanzania imepokea shehena ya Chanjo ya Janssen Dozi 115,200 kutoka Serikali ya Ubeligiji kupitia mpango wa COVAX Facility u...


Na WAMJW-DSM
Tanzania imepokea shehena ya Chanjo ya Janssen Dozi 115,200 kutoka Serikali ya Ubeligiji kupitia mpango wa COVAX Facility utaosaidia kuchanja wananchi 115,200 ili kuwakinga dhidi ya  UVIKO-19.

Akizingumza na waandishi wa habari katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam baada ya kupokea Chanjo kutoka kwa Balozi wa Ubeligiji nchini Tanzania Peter Van Acker Dkt. Gwajima amesema kuwa, Serikali itaendelea kutoa chanjo dhidi ya UVIKO-19 katika vituo mbalimbali vya Afya ili kuwakinga Wananchi.

Amesema kuwa, awamu ya kwanza Serikali ilipokea dozi 1,058,400, awamu ya pili dozi 169,000 na leo Desemba 3, 2021 hivyo kufanya jumla ya Chanjo aina ya Janssen zilizopokelewa hapa nchini kufikia Dozi 1,342,600 na kufanya jumla ya chanjo zote zilizopokelewa kuwa  dozi 4,421,540 zikiwemo chanjo ya Sinopharm na Pfizer ambazo zitachanja watu 2,882,545 .

Aidha Dkt Gwajima amewaagiza viongozi na watendaji wa ngazi zote kutoa ushirikiano wa hali ya juu kuhamasisha jamii kujitokeza kupata chanjo na  kisha kujikinga kwa kuchukua tahadhari dhidi ya Uviko 19 ikiwa ni pamoja na uvaaji wa barakoa, kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kutumia vitakasa mikono (Sanitizer), kufanya mazoezi na kuepuka misongamano isiyo yalazima.

Mwisho.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania yapokea dozi nyingine 115,200 za chanjo Uviko-19
Tanzania yapokea dozi nyingine 115,200 za chanjo Uviko-19
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiAunHIeaESfxjUra0lgsLBVWUVym_9J7paYcvabAxf4U4j1q_roWZHJWwYpIiSVE-VSTruhqjDnkFefoctAFt000Uj41CgW1L1_TUbph4cYOg01dmH-nlhgwFx0TIY13JdmGbWC5zEtATDuZUCCwZgOldqVesTQxyg920RWMaDpzp0kgZdOdktNe7QqQ=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiAunHIeaESfxjUra0lgsLBVWUVym_9J7paYcvabAxf4U4j1q_roWZHJWwYpIiSVE-VSTruhqjDnkFefoctAFt000Uj41CgW1L1_TUbph4cYOg01dmH-nlhgwFx0TIY13JdmGbWC5zEtATDuZUCCwZgOldqVesTQxyg920RWMaDpzp0kgZdOdktNe7QqQ=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/tanzania-yapokea-dozi-nyingine-115200.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/tanzania-yapokea-dozi-nyingine-115200.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy