Dereva aliesababisha ajali iliyoua Polisi ahukumiwa miaka minne jela
HomeHabari

Dereva aliesababisha ajali iliyoua Polisi ahukumiwa miaka minne jela

 Na Amiri Kilagalila,Njombe ALIYEKUWA dereva wa basi la Sharon  lililosababisha ajali na  kusababisha vifo vya askari wanne wa Jeshi la ...

Watendaji Ardhi Watakiwa Kuacha Tofauti
TECNO Yazawadia Wateja Wa TECNO Camon 17 Zawadi Mbalimbali
Prof. Malebo ateuliwa kuwa Mwenyekiti Baraza la Tiba Asili, Mbadala


 Na Amiri Kilagalila,Njombe
ALIYEKUWA dereva wa basi la Sharon  lililosababisha ajali na  kusababisha vifo vya askari wanne wa Jeshi la Polisi mkoani Njombe na majeruhi saba, William Emmanuel (28)ahukukumiwa kifungo cha miaka minne jela na kufungiwa leseni yake kwa muda wa miaka miwili.

Akisoma hukumu hiyo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Njombe Hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Liad Shamshama akiwa na Wakili wa Serikali Andrew Mandwa amesema tukio hilo la ajali lilitokea Februari 2020 maeneo ya mlima wa polisi barabara kuu ya Njombe Songea  saa 12 alfajiri.

Amesema siku ya tukio dereva huyo alikuwa akiendesha basi aina ya Youtong hivyo alipofika maeneo ya mlima wa polisi alilipita  gari lingine sehemu ambayo haikutakiwa kufanya hivyo.Akiwa kwenye mwendo mkali dereva huyo aliligonga gari la polisi aina ya Land cruiser na kusababisha vifo vya askari hao.

"Pamoja na kupewa adhabu ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani mshtakiwa pia amefungiwa leseni yake kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia leo,"amesema Shamshama.Askari waliofariki kutokana na ajali hiyo ni Marianus Hamis Saidi,Heri Athumani Soka, Michael Ernest Mwandu na Dickson Kagoda Maijo.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Dereva aliesababisha ajali iliyoua Polisi ahukumiwa miaka minne jela
Dereva aliesababisha ajali iliyoua Polisi ahukumiwa miaka minne jela
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiWLKO8h8tV6QW-VquM-zFj48pWrCaYtvIzfWNuv_PQQT07dHGiY8GUzHZ_eP9iUrGTfN4E38jqZhAcBsPs33Iy8UcHMWEJcZqWIxaShqmRbJfeQ_AcjsBUbZ8mFndDEATzltLyHyNCE2LbUAmvpNWegdGMC4rA5eiCxRaS6LmVe7OWMaTUz0EQ_ToLeg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiWLKO8h8tV6QW-VquM-zFj48pWrCaYtvIzfWNuv_PQQT07dHGiY8GUzHZ_eP9iUrGTfN4E38jqZhAcBsPs33Iy8UcHMWEJcZqWIxaShqmRbJfeQ_AcjsBUbZ8mFndDEATzltLyHyNCE2LbUAmvpNWegdGMC4rA5eiCxRaS6LmVe7OWMaTUz0EQ_ToLeg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/dereva-aliesababisha-ajali-iliyoua.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/dereva-aliesababisha-ajali-iliyoua.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy