Waziri Ummy: “Tunarudisha Idara Ya Uendelezaji Miji Na Vijiji”
HomeHabari

Waziri Ummy: “Tunarudisha Idara Ya Uendelezaji Miji Na Vijiji”

Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI Wakati naingia OR-TAMISEMI nilikuta umeanza mchakato wa kuifuta Idara ya Mipango miji katika Mamlaka za ...


Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI

Wakati naingia OR-TAMISEMI nilikuta umeanza mchakato wa kuifuta Idara ya Mipango miji katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, sasa tunairudisha na tunaiita Idara ya uendelezaji wa miji na vijiji na kazi yake kubwa itakuwa ni kuhakikisha miji yetu inapangwa, miji yetu inapimwa, miji yetu inaendelezwa.”

Hayo yamesema na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza kwenye semina ya Wakuu wa Mikoa 26 ya Tanzania bara iliyolenga kuwapa uelewa wa namna ya kutekeleza mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi.

Mhe. Ummy aliongeza: “tumeshabainisha miji inayochipukia kama 2,310, katika mikoa yetu na tumebainisha meneo ambayo yanachipukia badala ya kusubiri mpaka tuje tupambane kama tunavyopambana na wamachinga sasa hivi, hatutaacha watu wajenge holela holela na kupitia Idara hii ya Uendelezaji Miji na Vijiji watakua na jukumu kubwa la kusimamia ukuaji wa miji hiyo inayochipukia.

Alizungumzia kuhusu Anwani za Makazi na Postokodi amesema Miji yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa uhalifu na ugumu wa kufika katika maeneo fulani utakuta unamwambia mtu ukifika daraja la kwanza, la pili la tatu kata kona kulia, kona kushoto ni ngumu sana lakini mfumo huu wa anwani za makazi utasaidia.

WAZIRI amesema mfumo huu wa anwani za makazi na postikodi utasaidia katika Mpango wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI ya kuiendeleza na kuipanga miji hususani miji inayochipukia

Wakati huo huo Mhe. Ummy amesema Idara ya Usafishaji na Mazingira katika Halmashauri itasimamiwa na Idara ya Uendelezaji Miji kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Ummy: “Tunarudisha Idara Ya Uendelezaji Miji Na Vijiji”
Waziri Ummy: “Tunarudisha Idara Ya Uendelezaji Miji Na Vijiji”
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgkwOBemfFqFQO0nK3J6Scx_-9IhysNxWAgl9DCUKdX-NeSLFul-NgjeETToZrq1GVWeFSG5H69J8NrNBP_s5tCB2GpArHNdROA2jnIurWAQyhqCctOb31r8ZGqk1VYB8tJbGAcRl5OIbXpL-XhpGGV8fwQaRQxOlqtUiGoIdysunYDnwtUagfh-wEwQw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgkwOBemfFqFQO0nK3J6Scx_-9IhysNxWAgl9DCUKdX-NeSLFul-NgjeETToZrq1GVWeFSG5H69J8NrNBP_s5tCB2GpArHNdROA2jnIurWAQyhqCctOb31r8ZGqk1VYB8tJbGAcRl5OIbXpL-XhpGGV8fwQaRQxOlqtUiGoIdysunYDnwtUagfh-wEwQw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/waziri-ummy-tunarudisha-idara-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/waziri-ummy-tunarudisha-idara-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy