Tumieni Sekratarieti Za Mikoa Ipasavyo Kufanikisha Zoezi La Anwani Za Makazi
HomeHabari

Tumieni Sekratarieti Za Mikoa Ipasavyo Kufanikisha Zoezi La Anwani Za Makazi

 Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala A Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy ameishauri Wizara ya Habari,...

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 5, 2024
Genoa wamewasiliana na Tottenham ili kumsajili Djed Spence kwa mkataba wa kudumu.
Michele Di Gregorio kwenda Juventus.


 Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala A Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy ameishauri Wizara ya Habari, Mawasiliano na Tekinolojia kuzitumia Sekretarieti za Mikoa ili kufanikisha zoezi la Anuwani za Makazi kwa kuhakikisha pia wanazitengea bajeti ya ufuatiliaji ili kuharakisha utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi katika maeneo yao.

“Mhe Ummy amesema Sekta ya afya, wamekuwa wakitenga kiasi, sekta ya elimu wanafanya hivyo, na wizara ya Mawasiliano muangalie namna ya kutenga fedha za ufuatiliaji wa mradi huu”

Akizungumza kwenye semina ya Wakuu wa mikoa 26 ya Tanzania Bara iliyolenga kuwawapa uwelewa wa namna ya kutekeleza Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi, Mhe. Ummy alisema Ofisi ya Rais-TAMISEMI imeweka mikakati ya kuipanga, na kuiendeleza miji ikiwamo inayochipukia na kuwa mfumo wa anwani na Makazi pia utasaidia kufikia azima hiyo.

Aidha, Mhe. Ummy amesema kunafaida nyingi kutekeleza Mfumo wa Anwani za makazi ikiwamo usalama.

” Jambo la anwani za makazi ni zuri sana hususani katika miji yetu na mimi binafsi nimelipa kipaumbele suala zima la uendelezaji miji na vijiji.”

Kwa upande wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tekinolojia ya Habari, Dk Ashatu Kijaji amesema mkakati uliopo ni kuhakikisha asilimia 75 ya Watanzania wanafikiwa na huduma ya anuwani ya makazi ifikapo Aprili mwakani.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tumieni Sekratarieti Za Mikoa Ipasavyo Kufanikisha Zoezi La Anwani Za Makazi
Tumieni Sekratarieti Za Mikoa Ipasavyo Kufanikisha Zoezi La Anwani Za Makazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhB14_RTNSXZ1XFlCp0kj6iB9rrtSz_8LIq_YHaHbi7EDKg_nIvnG25495fchiLFzuCAd5m8SETBHrquIyaYe4XUQs3tQ9-2S_YT8tJnu_hTBNj1-juAgMbZDYD0-dqNJwStCVrOQvj9K9lAGPf_jwGqSefF6VW-DHRRId6ZFK2YYTG2W6jKCEMbkvQ6w=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhB14_RTNSXZ1XFlCp0kj6iB9rrtSz_8LIq_YHaHbi7EDKg_nIvnG25495fchiLFzuCAd5m8SETBHrquIyaYe4XUQs3tQ9-2S_YT8tJnu_hTBNj1-juAgMbZDYD0-dqNJwStCVrOQvj9K9lAGPf_jwGqSefF6VW-DHRRId6ZFK2YYTG2W6jKCEMbkvQ6w=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/tumieni-sekratarieti-za-mikoa-ipasavyo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/tumieni-sekratarieti-za-mikoa-ipasavyo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy