RPC Wankyo- Silaha 24 Zasalimishwa Pwani, Watu 21 Wakamatwa
HomeHabari

RPC Wankyo- Silaha 24 Zasalimishwa Pwani, Watu 21 Wakamatwa

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi, mkoani Pwani limefanikiwa kupata silaha 24 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha sheria baada ya...

Mrema afunga ndoa na mkewe Doreen Mkoani Kilimanjaro
BASATA: Steve Nyerere asianze kazi
Wahukumiwa Miezi Sita Baada Ya Kufanyiana Usaili Wa Kuandika Unaoratibiwa Na Sekretarieti Ya Ajira Katika Utumishi Wa Umma


Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
JESHI la Polisi, mkoani Pwani limefanikiwa kupata silaha 24 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha sheria baada ya wamiliki kuzisalimisha kwenye vituo mbalimbali vya Polisi.

Aidha Jeshi hilo linawashikilia watu 21 wakiwemo wanawake watatu na wanaume 18 wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi nyakati za usiku.

Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Kibaha ,Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani ACP Wankyo Nyigesa alisema silaha hizo zimesalimishwa mwezi huu wa Novemba mwaka huu.

Alielezea kwamba, silaha zilizosalimishwa ni rifle mbili na risasi 40, bastola moja na risasi saba na gobore 21.

Anawaomba wananchi wanaomiliki silaha hizo kinyume cha sheria waendelee kuzisalimisha kwa hiyari kwani baada ya hapo atakayekamatwa akimiliki bila ya kibali hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Wankyo alibainisha, silaha hizi zilisalimishwa katika kituo cha Polisi Bagamoyo, kituo cha Polisi Chalinze ambapo zimebaki siku saba ili zoezi la kusalimisha kwa hiyari kwisha.

"Zoezi hilo la kusalimisha silaha kwa wanaomiliki kinyume cha sheria kuzisalimisha bila ya kuchukuliwa hatua lilitangazwa Oktoba 30 mwaka huu lilitangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene na lilianza Novemba Mosi na litakwisha Novemba 30"alifafanua Wankyo.

Katika hatua nyingine, Jeshi hilo linawashikilia watu 21 wakiwemo wanawake watatu na wanaume 18 wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi nyakari za usiku.

Aidha alisema kuwa watu hao walikamatwa wakati wa operesheni na misako iliyofanyika mwezi huu Novemba ili kudhibiti makosa mbalimbali ya jinai.

Kamanda huyo alitoa rai kwa wananchi wote waliovunjiwa na kuibiwa kufika katika kituo cha Polisi Kibaha Mji kutambua mali zao.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: RPC Wankyo- Silaha 24 Zasalimishwa Pwani, Watu 21 Wakamatwa
RPC Wankyo- Silaha 24 Zasalimishwa Pwani, Watu 21 Wakamatwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEg9pW993Um05YZJ4LSyo4iEH3L4iOg0qY-QlM1CNigh17OdSSL1EYb_2W5fcfHUmXDBUwt7jCuduppkwVHUqurSvZTeinN89s7PAeNwiQdyijkXGQL2L3iGcX6uJjKwrIz7jyb7nLi1EklgzofLOxE-nrpkLseM6XHJsiqJ4KuutqWWVvHf4yU0Cc6zug=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEg9pW993Um05YZJ4LSyo4iEH3L4iOg0qY-QlM1CNigh17OdSSL1EYb_2W5fcfHUmXDBUwt7jCuduppkwVHUqurSvZTeinN89s7PAeNwiQdyijkXGQL2L3iGcX6uJjKwrIz7jyb7nLi1EklgzofLOxE-nrpkLseM6XHJsiqJ4KuutqWWVvHf4yU0Cc6zug=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rpc-wankyo-silaha-24-zasalimishwa-pwani.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rpc-wankyo-silaha-24-zasalimishwa-pwani.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy