Uhuru Kenyatta na Joe Biden wa Marekani kukutana kwa mara ya kwanza Ikulu White House
HomeHabari

Uhuru Kenyatta na Joe Biden wa Marekani kukutana kwa mara ya kwanza Ikulu White House

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anatarajiwa kukutana na mwenyeji wake, Joe Biden wa Marekani kwenye Ikulu ya White House, kujadialiana kuhus...


Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta anatarajiwa kukutana na mwenyeji wake, Joe Biden wa Marekani kwenye Ikulu ya White House, kujadialiana kuhusu masuala mbalimbali.

Rais Kenyatta anakuwa rais wa kwanza wa Afrika kukutana na kiongozi huyo wa Marekani, na Ikulu ya Marekani imesema marais hao wawili watazungumzia namna ya kuimarisha uhusiano kati ya Marekani na Kenya, lakini pia umuhimu wa uwazi kuhusu mifumo ya fedha kitaifa na kimataifa.

Ajenda ya mkutano huo imewekwa wazi, saa chache kabla ya mkutano huo na hii inakuja baada ya uchunguzi wa nyaraka za Pandora kubaini kuwa Familia ya rais Kenyatta amehifadhi mali za siri zenye thamani ya Dola Milioni 30.

Marais hao wawili pia watazungumzia kuhusu juhudi za kulinda na kuheshimu demokrasia na haki za binadamu kwenye ukanda wa pembe ya Afrika hasa Ethiopia, namna ya kuimarisha uchumi na kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

Biden na Kenyatta pia wanatarajiwa kujadiliana kuhusu uamuzi wa Mahakama ya haki ya Umoja wa Mataifa kuhusu mzozo wa eneo la Bahari na Somalia.

Baada ya mkutano huu rais Kenyatta anatarajiwa kumaliza ziara yake nchini Marekani, alikokwenda kuongoza kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ambacho kwa mwezi Oktoba nchi hiyo ya Afrika Mashariki ndio Mwenyekiti.

 

-RFI



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Uhuru Kenyatta na Joe Biden wa Marekani kukutana kwa mara ya kwanza Ikulu White House
Uhuru Kenyatta na Joe Biden wa Marekani kukutana kwa mara ya kwanza Ikulu White House
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEigLF3vnYbGVy9-mrJ3ZxMLGtFiea80sRQz5vzcaL362EDFCwjVvHtCEdenvbupVOaF3c-J2eddz7s8ZyITVqn_G-W9FrLUKVCzMObccBduKiSJDBsJZ9fSlKSk5zIwr_dwQrsRfRTNbLYGrTk-sGz8pgjD5mEoqEb21q1yytt-Gd3FgXbCYuB97a-A3w=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEigLF3vnYbGVy9-mrJ3ZxMLGtFiea80sRQz5vzcaL362EDFCwjVvHtCEdenvbupVOaF3c-J2eddz7s8ZyITVqn_G-W9FrLUKVCzMObccBduKiSJDBsJZ9fSlKSk5zIwr_dwQrsRfRTNbLYGrTk-sGz8pgjD5mEoqEb21q1yytt-Gd3FgXbCYuB97a-A3w=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/uhuru-kenyatta-na-joe-biden-wa-marekani.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/uhuru-kenyatta-na-joe-biden-wa-marekani.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy