Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kumalizia kifungo chake nyumbani
HomeHabari

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kumalizia kifungo chake nyumbani

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ambaye alihukumiwa kifungo cha miezi 15 jela baada ya kukaidi agizo la Mahakama kuhusu kesi ya ...

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ambaye alihukumiwa kifungo cha miezi 15 jela baada ya kukaidi agizo la Mahakama kuhusu kesi ya rushwa dhidi yake, ameruhusiwa kumaliza kifungo chake akiwa nyumbani kutokana na kuumwa kwake.

Idara ya Magereza imetangaza msamaha huo wa kiafya miezi miwili tu tangu Zuma (79) aanze kutumikia kifungo hicho ambapo amelazwa katika hospitali moja nje ya Mahakama hiyo tangu Agosti 6 kwa maradhi ambayo hayajafahamika.

Idara hiyo ilisema rais huyo wa zamani anayetumikia kifungo jela alifanyiwa upasuaji mwezi uliopita na kwamba hawawezi kufichua kile anachosumbuliwa nacho lakini anaweza tu kuthibitisha kuwa walipokea ripoti zaidi ya moja ya matibabu.

Agosti 14, Zuma alifanyiwa upasuaji ambao hadi sasa haijaelezwa ulikua wa nini ila Idara ya Magereza imesema kwamba uamuzi huu mpya ulitokana na ripoti ya kiafya waliyopata kuhusu Zuma, hata hivyo wamesema atahitajika kufuata masharti atakayopewa na watamfuatilia kuhakikisha anamaliza kifungo chake.

Hii inakuja karibu miezi miwili baada ya rais wa zamani kuanza kutumikia kifungo chake cha miezi 15 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kuidharau na Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini. Zuma atatumikia kifungo kilichobaki nyumbani



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kumalizia kifungo chake nyumbani
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kumalizia kifungo chake nyumbani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilHwyAEcbptn6qIr2qUvU7MCPVGLOg_ZylegtgrXn-U97BPHxM11_LxmtkS_x_8dB6yAMRFJA90ItJUb_6qp0IItRNsmgB9KviPPw6aHi7ucO4S4xhaiRDov1oEOWaYhitvTLWKoxu0J8A/s0/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilHwyAEcbptn6qIr2qUvU7MCPVGLOg_ZylegtgrXn-U97BPHxM11_LxmtkS_x_8dB6yAMRFJA90ItJUb_6qp0IItRNsmgB9KviPPw6aHi7ucO4S4xhaiRDov1oEOWaYhitvTLWKoxu0J8A/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/rais-wa-zamani-wa-afrika-kusini-jacob.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/rais-wa-zamani-wa-afrika-kusini-jacob.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy