PSG YATAJWA KUWA DHAIFU NA MESSI WAKE
HomeMichezo

PSG YATAJWA KUWA DHAIFU NA MESSI WAKE

  PSG haipewi nafasi kubwa ya kuweza kuwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kuwa na utatu matata kwenye safu yao ya ushambuliaj...

 


PSG haipewi nafasi kubwa ya kuweza kuwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kuwa na utatu matata kwenye safu yao ya ushambuliaji ambao unaongozwa na Lionel Messi, Kylian Mbappe na Neymar.

Media za Ufaransa zimeamua kuupa jina la MNM utatu huo unaotajwa kuwa na mvuto zaidi duniani kutokana na ubora wa washambuliaji hao wanapokuwa uwanjani na tamaa yao ya kufunga mabao mengi kila wanapopata nafasi.

Mchambuzi wa masuala ya michezo Michael Owen ambaye alikuwa ni mchezaji zamani amesema kuwa uwepo wa utatu huo haina maana kwamba timu hiyo inaweza kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwani utatu huo unaifanya PSG inakuwa dhaifu.

Katika mchezo wa kwanza wa utatu huo kucheza pamoja kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ikiwa ni mechi ya kwanza kwa Messi kuanza ilikuwa dhidi ya Club Bruges siku ya Jumatano hakuna hata mmoja aliyefunga na ubao wa Uwanja wa Jan Breydel ulisoma 1-1.

Ni Hans Vanaken alisawazisha dakika ya 27 bao la Ander Herrera wa PSG aliyepachika bao hilo dakika ya 15.Pia rekodi zinaonyesha kuwa PSG walipiga mashuti 9 na yaliyolenga langoni yalikuwa ni manne huku wapinzani wao Club Bruges wakipiga mashuti 16 na 7 yalilenga lango.

Owen amesema:"Hii timu ya PSG ina maofowadi bora sana kwa sasa lakini watatu hao pamoja wanaifanya inakuwa dhaifu na sijui kwa nini ni timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya nadhani timu za England ni bora zaidi yao kwa mbali sana," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: PSG YATAJWA KUWA DHAIFU NA MESSI WAKE
PSG YATAJWA KUWA DHAIFU NA MESSI WAKE
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3fPQEE-oOri_OJXCjscg-2uR8l29Il_lJ933chVRB4ApbcFbrRk2O5x1YxqmSvC7aoOCqVb9J0jOl1k8S0Y4iwsbAezafPz-5-00Y-6BUQNhOI4YN4IYqQI4VOsO1KqQ1Jdw7cYvpXG7U/w640-h434/Messi+bana.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3fPQEE-oOri_OJXCjscg-2uR8l29Il_lJ933chVRB4ApbcFbrRk2O5x1YxqmSvC7aoOCqVb9J0jOl1k8S0Y4iwsbAezafPz-5-00Y-6BUQNhOI4YN4IYqQI4VOsO1KqQ1Jdw7cYvpXG7U/s72-w640-c-h434/Messi+bana.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/psg-yatajwa-kuwa-dhaifu-na-messi-wake.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/psg-yatajwa-kuwa-dhaifu-na-messi-wake.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy