GUARDIOLA KWENYE MTIHANI MZITO
HomeMichezo

GUARDIOLA KWENYE MTIHANI MZITO

  PEP Guardiola,Kocha Mkuu wa Manchester City kwa sasa hana furaha kutokana na nyota wake wengi kusumbuliwa na majeraha huku ratiba yake ...

 


PEP Guardiola,Kocha Mkuu wa Manchester City kwa sasa hana furaha kutokana na nyota wake wengi kusumbuliwa na majeraha huku ratiba yake ikiwa ni ngumu katika kusaka ushindi ndani ya Ligi Kuu England pamoja na Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Miongoni mwa nyota ambao hawapo sawa ni pamoja na John Stones ambaye anasumbuliwa na tatizo la misuli na Aymeric Laporte ambao kwa mujibu wa ripoti zinaeleza kuwa watakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili hivyo katika hali halisi watakosa mechi zote tatu na wote ni mabeki.

Mechi hizo ambazo watakosa ni pamoja na ile dhidi ya Chelsea, kesho Septemba 25 ambao ni wa ligi pia ana kazi ya kukutana na Lionel Messi na Neymar wanaokipiga ndani ya PSG, Septemba 28 katika mchezo wa UEFA Champions League kisha Oktoba 3 ana kazi mbele ya Liverpool katika mchezo wa ligi bila uwepo wa nyota wake hao ambao ni tegemeo katika kikosi cha City.

Mabingwa hao watetezi City wanakutana na Chelsea ambayo imewaka ikiwa na Romelu Lukaku chini ya Kocha Mkuu, Thomas Tuchel ambapo ipo nafasi ya kwanza na pointi 13 huku City ikiwa nafasi ya tano na pointi 10 zote zimecheza mechi tano jambo ambalo linampasua kichwa Guardiola.

Kwa sasa Guardiola yupo kwenye mtihani mzito ambapo ameamua kuwatumia vijana wa City katika mechi zake ili kuweza kuwapa nafasi ya kusaka ushindi kwenye mechi za ushindani huku akisifu uwezo wa vijana hao.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: GUARDIOLA KWENYE MTIHANI MZITO
GUARDIOLA KWENYE MTIHANI MZITO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuJ0bhJCAcOMOdkrS4YJq9UEPUEkdr7e4cGoBLS6DlffZ1OubvuXXwAzBaYj05EXgEoJ1F9Xhz86YlprJEl2JBW3hFwXbXM5eAsJfnX2m5yeY1Sq7YUXgEFa9EqPjqQuSpDG52rjjjk64V/w632-h640/Screenshot_20210924-060203_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuJ0bhJCAcOMOdkrS4YJq9UEPUEkdr7e4cGoBLS6DlffZ1OubvuXXwAzBaYj05EXgEoJ1F9Xhz86YlprJEl2JBW3hFwXbXM5eAsJfnX2m5yeY1Sq7YUXgEFa9EqPjqQuSpDG52rjjjk64V/s72-w632-c-h640/Screenshot_20210924-060203_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/guardiola-kwenye-mtihani-mzito.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/guardiola-kwenye-mtihani-mzito.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy