YANGA KUWACHOMOA MASTAA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA
HomeMichezo

YANGA KUWACHOMOA MASTAA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

  U ONGOZI  wa  Yanga umesema  kuwa utawaita  wachezaji wote  wa timu hiyo ambao wapo  kambini kwa sasa kwenye  timu ya taifa ya Tanzania ...


 UONGOZI wa Yanga umesema kuwa utawaita wachezaji wote wa timu hiyo ambao wapo kambini kwa sasa kwenye timu ya taifa ya Tanzania kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kuja kuhudhuria katika kilele cha Wiki ya Mwananchi.


Timu ya Taifa ya Tanzania 
iliingia kambini Agosti 25, tayari kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo dhidi ya DR Congo utakaofanyika Septemba 2, nchini DR Congo.


Wachezaji Yanga ambao wameenda kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania ni Feisal Salum, Dickson Job, Zawadi Mauya na Ramadhani Kabwili.

 

 Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga, Thabit Kandoro, alisema kuwa tayari wameshawasiliana na uongozi wa timu ya taifa juu ya kuwaomba wachezaji hao kwa ajili ya kuja kushiriki Siku ya Mwananchi kisha kurejea tena kambini.


“Tayari tumeshaongea na uongozi wa timu ya taifa ya Tanzania juu ya kuwaomba wachezaji wetu wote katika mchezo wa kilele cha siku ya Mwananchi dhidi ya Zanaco FC na tayari ombi letu limekubaliwa.

 

“Hivyo mashabiki wa Yanga wasiwe na wasiwasi juu ya kuwakosa wachezaji hao na kilichobaki kwa sasa mashabiki wanatakiwa wafike kwa wingi kwani kutakuwa na mambo mengi mazuri kwa ajili yao,” alisema kiongozi huyo.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA KUWACHOMOA MASTAA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA
YANGA KUWACHOMOA MASTAA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjufFuPSkgr93_ngsSrQiam_ODCtT46aOfcVx9nxhvsUW0p8Iw5EtA5XURKjP4jCKKoYdoqQcTdrvxIV5uz_wRtsEJWNWG45gKB6-CF2O6kX-CQJAVe4_aSZ3npnAVPvVRWgZOPGg6oyJZz/w640-h510/Fei+Stars.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjufFuPSkgr93_ngsSrQiam_ODCtT46aOfcVx9nxhvsUW0p8Iw5EtA5XURKjP4jCKKoYdoqQcTdrvxIV5uz_wRtsEJWNWG45gKB6-CF2O6kX-CQJAVe4_aSZ3npnAVPvVRWgZOPGg6oyJZz/s72-w640-c-h510/Fei+Stars.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-kuwachomoa-mastaa-timu-ya-taifa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-kuwachomoa-mastaa-timu-ya-taifa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy