WAZIRIJUNIRO WA YANGA AINGIA ANGA ZA MTIBWA SUGAR, POLISI TANZANIA
HomeMichezo

WAZIRIJUNIRO WA YANGA AINGIA ANGA ZA MTIBWA SUGAR, POLISI TANZANIA

  K UNA kila dalili straika wa Yanga, Waziri Junior akatimka ndani ya Yanga baada ya timu kibao kutaka kumnunua na zingine zikimtaka kwa m...


 KUNA kila dalili straika wa Yanga, Waziri Junior akatimka ndani ya Yanga baada ya timu kibao kutaka kumnunua na zingine zikimtaka kwa mkopo wa mwaka mmoja.

 

Waziri amekosa nafasi ya kucheza ndani ya Yanga tangu aliposajiliwa kutoka Mbao FC msimu uliopita na hata alipokuwa anapewa nafasi ya kucheza amekuwa haonyeshi kile mashabiki walichokuwa wanatarajia.

 

Taarifa kutoka Yanga zinasema Polisi Tanzania, Mtibwa Sugar, Dodoma Jiji na Kagera Sugar wanekuwa wakipishana kwenye ofisi za Yanga wakitaka huduma ya straika huyo ambaye amefunga mabao mawili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga Thabit Kandoro, aliliambia Championi Jumatatu kuwa Waziri ameletewa ofa nyingi sana kiasi ambacho wameamua kumtuliza asiende Morocco kwenye kambi ili viongozi waamue kama watamuuza au atabaki.

 

“Kiukweli kuna timu nyingi sana zinamuhitaji Waziri ingawa sisi bado hatujaamua kama tutamuuza au atabaki, ndiyo maana kwa sasa tumeamua asiende kwanza kambini Morocco ili tuamue,” alisema Kandoro.

 

Yanga waliondoka jana kwenda Morocco kwa ajili ya kambi kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu na mashindano ya kimataifa.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: WAZIRIJUNIRO WA YANGA AINGIA ANGA ZA MTIBWA SUGAR, POLISI TANZANIA
WAZIRIJUNIRO WA YANGA AINGIA ANGA ZA MTIBWA SUGAR, POLISI TANZANIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9MdeyJdnJ9ZjAF7DbreQEOWbtV-UECZx8LdDNHDb55TnUYqzwCEmycTWchwBuJVsBIjU1f0tYJtzH1NBRpbKd0RA-GHKCCpxBH_ZBExOg6jg9bI3sR-BFmVSsVUSVXtJ5ukyqX_9kMv9s/w640-h640/wazir_junior_10-189738138_244086164177293_8221962845054595225_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9MdeyJdnJ9ZjAF7DbreQEOWbtV-UECZx8LdDNHDb55TnUYqzwCEmycTWchwBuJVsBIjU1f0tYJtzH1NBRpbKd0RA-GHKCCpxBH_ZBExOg6jg9bI3sR-BFmVSsVUSVXtJ5ukyqX_9kMv9s/s72-w640-c-h640/wazir_junior_10-189738138_244086164177293_8221962845054595225_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/wazirijuniro-wa-yanga-aingia-anga-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/wazirijuniro-wa-yanga-aingia-anga-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy