MSHAMBULIAJI WA SIMBA AMBAYE INATAJWA KAPORWA NA YANGA ATAJA ALIPO
HomeMichezo

MSHAMBULIAJI WA SIMBA AMBAYE INATAJWA KAPORWA NA YANGA ATAJA ALIPO

 NTOTA Peter Banda amesema kuwa kwa sasa yupo Msumbiji na awali ilipaswa aje na timu ya Big Bullets Bongo ila mambo yalikwenda tofauti. Bi...

 NTOTA Peter Banda amesema kuwa kwa sasa yupo Msumbiji na awali ilipaswa aje na timu ya Big Bullets Bongo ila mambo yalikwenda tofauti.


Big Bullets ambayo ni timu yake ipo Tanzania ikishiriki mashindano ya Kagame na Agosti Mosi iligawana pointi mojamoja na Yanga baada ya kupata sare ya kufungana bao 1-1.


Habari zinaeleza kuwa Simba wapo kwenye hesabu za kuinasa saini yake huku Yanga nao wakitajwa kuingilia kati dili hilo.


Jana alikuwa anapewa nafasi ya kutambulishwa ndani ya Simba ila mambo yalikwenda tofauti na hakuweza kutambulishwa.


 Kwa sasa inaelezwa kuwa alipelekwa Kigamboni kumalizana na mabosi wa Yanga ambao waliamua kuwazunguka watani zao Simba ambao walikuwa wanapewa nafasi ya kumpa dili nyota huyo.


Banda mwenyewe amesema kuwa yupo Malawi ila aliweka wazi kuwa alikuwa anawasiliana na viongozi wa Simba ambao walikuwa wanahitaji kumpa ofa mshambuliaji.

Kuhusu usajili wa Yanga, Ofisa Habari wa timu hiyo Hassan Bumbuli alisema kuwa wanakwenda kimyakimya na wachezaji watakaokamilisha madili watatambulishwa.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MSHAMBULIAJI WA SIMBA AMBAYE INATAJWA KAPORWA NA YANGA ATAJA ALIPO
MSHAMBULIAJI WA SIMBA AMBAYE INATAJWA KAPORWA NA YANGA ATAJA ALIPO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdJuzVPCaLgE3zyHFAAF6rM-LnnIV4W_v787VXgIV3AEtO1J0kvduf6CUGvmvAvei7sIo8uvtR2hD62dIaGb19oo-zFmqn3gCQhNEE1e_sRTJZ-8L5L30WIOmHTM42nGfI-ePU6YPA_Egz/w636-h640/Screenshot_20210802-234056_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdJuzVPCaLgE3zyHFAAF6rM-LnnIV4W_v787VXgIV3AEtO1J0kvduf6CUGvmvAvei7sIo8uvtR2hD62dIaGb19oo-zFmqn3gCQhNEE1e_sRTJZ-8L5L30WIOmHTM42nGfI-ePU6YPA_Egz/s72-w636-c-h640/Screenshot_20210802-234056_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/mshambuliaji-wa-simba-ambaye-inatajwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/mshambuliaji-wa-simba-ambaye-inatajwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy