Tanzania Na Umoja Wa Ulaya Zaahidi Kuimarisha Ushirikiano
HomeHabari

Tanzania Na Umoja Wa Ulaya Zaahidi Kuimarisha Ushirikiano

Na Mwandishi wetu, Dar Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya (EU) zimeahidi kuimarisha ushirikiano kwa maslahi y...

Majaliwa: Wakazi Waishio Maeneo Ya Viwanda Wapewe Kipaumbele Cha Ajira
Tanzania Kuendeleza Vyanzo Vya Nishati Jadidifu
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Novemba 19


Na Mwandishi wetu, Dar
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya (EU) zimeahidi kuimarisha ushirikiano kwa maslahi ya pande zote mbili.

Hayo yamesemwa kwenye mkutano kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Mhe. Manfredo Fanti, uliofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Balozi Sokoine ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inaridhishwa na uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya ambao umepelekea kuzaa matunda yenye manufaa kwa pande zote mbili. Aidha, ameahidi kuendelea kuimarisha uhusiano huo kwa maslahi ya pande zote.

Kwa upande wake, Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa Nchini, Mhe. Manfredo Fanti amesema Umoja huo utaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

“Napenda kukuhakikishia kuwa Umoja wa Ulaya utaendelea kushirikiana kwa ukaribu na Tanzania kwa ajili ya kuleta maendeleo ya wananchi wake,” amesema Balozi Fanti.

Katika tukio jingine, Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine pia amekutana kwa mazungumzo na Kaimu Balozi wa China hapa Nchini Mhe. Xu Chen katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine, viongozi hao wawili walijadili masuala mbalimbali ya kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa uwili (Bilateral Cooperation).


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania Na Umoja Wa Ulaya Zaahidi Kuimarisha Ushirikiano
Tanzania Na Umoja Wa Ulaya Zaahidi Kuimarisha Ushirikiano
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWVLT6cTT0nJijnbBm7QFp6bcwMqGdhtGfncCDkTyl1JdZcvjRuPglAYMpj4rKYf1slyFFUfJQxt4JrRQmz9nVrUW09_dkvXHru6NzgkwAlgipUXOCP4S95AEkahyTiVRdE90FEOgDn2Hf/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWVLT6cTT0nJijnbBm7QFp6bcwMqGdhtGfncCDkTyl1JdZcvjRuPglAYMpj4rKYf1slyFFUfJQxt4JrRQmz9nVrUW09_dkvXHru6NzgkwAlgipUXOCP4S95AEkahyTiVRdE90FEOgDn2Hf/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/tanzania-na-umoja-wa-ulaya-zaahidi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/tanzania-na-umoja-wa-ulaya-zaahidi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy