ISHU YA MORRISON CAS BADO NZITO, MPILI ABAINISHA KUHUSU KIGOMA
HomeMichezo

ISHU YA MORRISON CAS BADO NZITO, MPILI ABAINISHA KUHUSU KIGOMA

HAJI Mpili, maarufu kama Mzee Mpili ambaye ni mwanachama wa Klab ya Yanga amesema kuwa laiti kama mchezaji Bernard Morrison angekuwa ndani...


HAJI Mpili, maarufu kama Mzee Mpili ambaye ni mwanachama wa Klab ya Yanga amesema kuwa laiti kama mchezaji Bernard Morrison angekuwa ndani Yanga angafanya vizuri zaidi tofauti na sasa.

Morrison amekuwa kwenye mvutano mkubwa na Yanga ishu ya mkataba wake ambapo Yanga wamekuwa wakidai kwamba ana dili la miaka miwili na mchezaji anadai kwamba dili lake lilikuwa ni la miezi sita lilikwisha.

Kuhusu hilo ambapo Yanga wameeleza kuwa kesi yake ipo kwenye ahakama ya usuluhishi, (Cas) Mzee Mpili amebainisha kuwa kesi hiyo ni nzito.

Mpili amesema:-“Akili yake waliivuruga na mimi naamini kama angekuwepo Yanga basi angefanya vizuri sana tofauti na sasa, kwa sababu wanasema hayupo kwenye timu ameondoka.

 


“Ndio maana tumepeleka CAS na kesi yake ni nzito na Morisson mwenyewe alitaka kesi yake iamuliwe hapa na mpira wake umeshapotea.


“Tarehe tatu alionyesha kama shoo tu hakufanya chochote kwani tulizuia mpira wake, na kwenye simu yangu sina namba ya Morisson na siwezi kuongea nae.

 

“Mzee Dalali amesema anatangulia kigoma na anaenda kunipiga lakini akumbuke kuwa na Haji Manara alisema hivo hivo kuwa atanipiga tatu kwenye mchezo uliopita na nilimpiga na hela katoa, sahizi sio bao moja itakuwa zaidi ya kuhesabu.

 

“Sisi hatuwezi kubadilisha uwanja ni ule ule pale pale kigoma sisi mipango ya kucheza mpira tumeshamaliza na watu wangu wameshafika.


"Simba wana kikosi kizuri lakini mimi na wachezaji wangu wa kuokota okota nitawapiga hivo," .





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: ISHU YA MORRISON CAS BADO NZITO, MPILI ABAINISHA KUHUSU KIGOMA
ISHU YA MORRISON CAS BADO NZITO, MPILI ABAINISHA KUHUSU KIGOMA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZuKR4t4WadscTtU6CBw0tFC713WDqOhgAK2zvk18fHHxDqcDgp02gb8_E_mvOJE04ujtZZNMrgM2XvJH_6WId2ehK0v5yKpjr-uuHRtfwunJ9kgDdxlbb8e0mUcK7IPgrUIH29VMjpMeZ/w640-h426/Mpili+Global.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZuKR4t4WadscTtU6CBw0tFC713WDqOhgAK2zvk18fHHxDqcDgp02gb8_E_mvOJE04ujtZZNMrgM2XvJH_6WId2ehK0v5yKpjr-uuHRtfwunJ9kgDdxlbb8e0mUcK7IPgrUIH29VMjpMeZ/s72-w640-c-h426/Mpili+Global.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/ishu-ya-morrison-cas-bado-nzito-mpili.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/ishu-ya-morrison-cas-bado-nzito-mpili.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy