Dk. Mwinyi Umefika Wakati Wa Kuunda Tume Kupambana Na Udhalilishaji.
HomeHabari

Dk. Mwinyi Umefika Wakati Wa Kuunda Tume Kupambana Na Udhalilishaji.

 Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi  amesema umefika wakati wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ...

 Rais Wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi  amesema umefika wakati wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume ya kupambana na Udhalilishaji wa Kijinsia visiwani Zanzibar kwa ajili ya kupambana na udhalilishaji visiwani humo. 


Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo kwenye  kongamano la udhalilishaji liloandaliwa na Jumuiya ya Wanasheria Wanawake wa Zanzibar katika ukumbi wa Shekh Idriss Abdul - Wakil, Kikwajuni Jijini Zanzibar.


 Aidha Mhe. Rais Mwinyi amewataka watendaji wa Taasisi zote zinazohusika na suala la udhalilishaji kujipima juu ya utendaji wao. Hii ni baada ya kuendelea kutolewa malalamiko Kwa baadhi ya watu ambao wanashutumiwa Kwa vitendo vya udhalilishaji kuachiliwa huru.


Udhalilishaji sio suala la ubakaji tu, kwani waathirika wakubwa japo wanaonekana ni wanawake lakini wapo wanaume wengi ambao wanadhalilishwa pia. Alisema Mhe. Rais Mwinyi.


“Nimekuja hapa kuwapeni Uhakika wa kwamba ninayo dhamira ya dhati kulimaliza tatizo la udhalilishaji visiwani kwetu. “


Katika hatua nyingine, Mhe. Rais amemtaka Jaji Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Omary Makungu kuwahimiza majaji na mahakimu waliochini ya Mhimili wake kutekeleza wajibu wao Kwa wakati na Kwa Uadilifu ili kulinda haki za watu ambao wametendewa unyanyasaji wa kijinsia.


Mhe.  Rais, Dk. Mwinyi, amezishukuru taasisi na asasi binafsi ambazo zimekuwa zikitoa misaada ya kisheria kwa Wananchi wa Zanzibar kwani licha ya Kwamba ni wajibu wa Serikali kutoa huduma na misaada ya kisheria, lakini taasisi hizi zimekuwa msaada mkubwa.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Dk. Mwinyi Umefika Wakati Wa Kuunda Tume Kupambana Na Udhalilishaji.
Dk. Mwinyi Umefika Wakati Wa Kuunda Tume Kupambana Na Udhalilishaji.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiBhKeL5UUJr2QlgYKOnadQE-BynoSuSHKwHPVJguRU20CaVIY9ivKdEAPdaVFDmlEMCF-eU4eKavNg1ffjIx6k738705erZz29be2ibSuqk5TVTJC4bcPlxPZwoMGMdXYG-3B_-UZ0mdK/s0/2.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiBhKeL5UUJr2QlgYKOnadQE-BynoSuSHKwHPVJguRU20CaVIY9ivKdEAPdaVFDmlEMCF-eU4eKavNg1ffjIx6k738705erZz29be2ibSuqk5TVTJC4bcPlxPZwoMGMdXYG-3B_-UZ0mdK/s72-c/2.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/dk-mwinyi-umefika-wakati-wa-kuunda-tume.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/07/dk-mwinyi-umefika-wakati-wa-kuunda-tume.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy