Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aondolewa madarakani
HomeHabari

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aondolewa madarakani

 Benjamin Netanyahu amepoteza utawala wake wa miaka 12 madarakani nchini Israel baada ya bunge la taifa hilo kupiga kura ya kuidhinisha ser...

Sitasahau Changamoto Nilizopitia Kwenye Ndoa Yangu
Kikao Kazi Cha Majaji Wafawidhi Chahitimishwa, Jaji Mkuu Asisitiza Utekelezaji Thabiti
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo February 13

 Benjamin Netanyahu amepoteza utawala wake wa miaka 12 madarakani nchini Israel baada ya bunge la taifa hilo kupiga kura ya kuidhinisha serikali mpya ya muungano.

Kiongozi wa mrengo wa kulia Naftali Bennett ameapishwa kuwa waziri mkuu akiongoza 'serikali ya mageuzi'.

Ataongoza muungano wa vyama ulioidhinishwa kupitia uongozi mwembamba wa walio wengi wa 60-59.

Bennett atakuwa waziri mkuu hadi mwezi Septemba 2023 ikiwa ni maafikiano ya ugavi wa mamlaka.

Baadaye atamkabidhi Yair Lapid - kiongozi wa chama cha mrengo wa kati cha Yesh Atid, kuongoza kwa miaka mingine miwili.

Netanyahu - kiongozi aliyeongoza kwa muda mrefu ambaye ametawala siasa za taifa hilo kwa miaka kadhaa atasalia kuwa kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia cha Likud na kuwa kiongozi wa upinzani.

Wakati wa mjadala katika bunge la Knesset , bwana Netanyahu ambaye hakukubali kushindwa aliahidi: ''Tutarudi''.

Baada ya kura hiyo kupigwa , Netanyahu alisimama na kumkaribia  Bennett kabla ya kumuamkia kwa mkono.
 

-BBC



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aondolewa madarakani
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aondolewa madarakani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit2Ua7xuKjXgHzseqPakEPJ8E0FWckWvG7k0aF-JIJopoo8aI8ZM9eGriNSLsyzWaqm5HcfLWg5q8v5mkHSX9pfrludGGZyeRqSt0MkQsUDW9L_Mt8u86wOrQnc6fxqG_H8Urum6hRkElq/s0/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEit2Ua7xuKjXgHzseqPakEPJ8E0FWckWvG7k0aF-JIJopoo8aI8ZM9eGriNSLsyzWaqm5HcfLWg5q8v5mkHSX9pfrludGGZyeRqSt0MkQsUDW9L_Mt8u86wOrQnc6fxqG_H8Urum6hRkElq/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/waziri-mkuu-wa-israel-benjamin.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/waziri-mkuu-wa-israel-benjamin.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy