UMAFIA, SIMBA WAICHAMBUA YANGA KWA MTINDO HUU, WATAJA MAKOSA YAO
HomeMichezo

UMAFIA, SIMBA WAICHAMBUA YANGA KWA MTINDO HUU, WATAJA MAKOSA YAO

  J OTO la mtanange wa  watani wa jadi Simba na  Yanga limeanza kushika  kasi baada ya mtathimini ubora  wa Simba, Culvin Mavhunga  kuanz...

 


JOTO la mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga limeanza kushika kasi baada ya mtathimini ubora wa Simba, Culvin Mavhunga kuanza kuwasoma wapinzani wao Yanga kwenye mchezo ambao Yanga ilipoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Azam.

 

Simba na Yanga zitakutana Mei 8, ambapo mchezo wa kwanza uliopigwa Novemba 7 mwaka jana, ulimalizika kwa timu hizo kutoa sare ya bao 1-1 bao la Yanga likifungwa na Michael Sarpong huku lile la Simba likifungwa na Joash Onyango.

 

Mahhunga alikuwa sehemu ya walioshuhudia mchezo huo amesema:-“Wamekuwa na mawasiliano hafifu hasa kwenye eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji jambo ambalo limesababisha wanafanya makosa mengi ya kiufundi.


“Kwenye eneo la ulinzi wamekuwa bora kwa baadhi ya mechi licha ya kuruhusu mabao ya aina moja kwenye mechi tatu za mwisho ambazo wamecheza.”

 

Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana Mei 8 kwenye dimba la Mkapa jijini Dar, huku Simba wakiwa na mwenendo bora wakifanikiwa kuwashusha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara Yanga ambao wameongoza kwa kipindi kirefu.

 

 Simba walikuwa kileleni na pointi 61 huku Yanga wakifuata na 57 na Azam wakiwa na 54 kibindoni.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: UMAFIA, SIMBA WAICHAMBUA YANGA KWA MTINDO HUU, WATAJA MAKOSA YAO
UMAFIA, SIMBA WAICHAMBUA YANGA KWA MTINDO HUU, WATAJA MAKOSA YAO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1vBKD7swrpCXPlq1lAbcT96c3cFhGnXqCNSyHdYXRL5SVwdC-J5NpjTVmfYovlsHNT3xa_kehF1fM5MvpF5JCZkLqnRmFr1oyY6JPdbivCwTyW7DhVn_jaVWRAXAwCm7K0clSlm8CLdaX/w640-h426/Bocco+v+Yanga.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1vBKD7swrpCXPlq1lAbcT96c3cFhGnXqCNSyHdYXRL5SVwdC-J5NpjTVmfYovlsHNT3xa_kehF1fM5MvpF5JCZkLqnRmFr1oyY6JPdbivCwTyW7DhVn_jaVWRAXAwCm7K0clSlm8CLdaX/s72-w640-c-h426/Bocco+v+Yanga.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/umafia-simba-waichambua-yanga-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/umafia-simba-waichambua-yanga-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy