SIMBA: TUKIIFUNGA YANGA, UBINGWA NI ASILIMIA 100
HomeMichezo

SIMBA: TUKIIFUNGA YANGA, UBINGWA NI ASILIMIA 100

  KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes, ametamba kuwa ni lazima waibuke na ushindi katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya Yanga, kwani wakifa...

MUONEKANO WA LAKE TANGANYIKA, DIMBA LA FAINALI FA
JEMBE LA KAZI LAVUTWA NA KAZE,KUIVAA MBEYA CITY
SIMBA YAJIPA MATUMAINI KUFANYA VIZURI KIMATAIFA

 KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes, ametamba kuwa ni lazima waibuke na ushindi katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya Yanga, kwani wakifanikiwa kuifunga Yanga basi ubingwa kwa Simba ni asilimia 100.

 

Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana katika mchezo wa dabi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara, utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam, ambapo Simba watakuwa wenyeji wa mchezo.

 

Timu hizo zitaingia katika mchezo huo zikiwa na kumbukumbu ya matokeo ya sare ya bao 1-1 waliyoipata katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, Novemba 7, mwaka 2019.

 

Mpaka sasa Simba ndiyo vinara wa msimamo wa Ligi Kuu Bara ambapo wamejikusanyia pointi 61, wakifuatiwa na Yanga wenye pointi 57, licha ya kwamba wamecheza michezo miwili zaidi ya Simba.

 

 Gomes amesema: “Tumefurahi kwa ushindi ambao tuliupata katika mchezo wetu wa Jumamosi dhidi ya Kagera Sugar katika michuano ya Kombe la FA, kwa sasa tunajua tuna ratiba ya kucheza michezo mikubwa dhidi ya Yanga na michezo ya robo fainali ya mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs.

 

“Lakini mawazo yetu yote tumeyaelekeza kwenye mchezo wetu ujao dhidi ya Yanga, kwa kuwa ni mchezo mgumu wa dabi, nafurahi kuona kuelekea mchezo huo tupo katika hali nzuri ya kujiamini kutokana na kupata ushindi katika michezo yetu sita iliyopita.

 

“Narudia tena tunajua wazi utakuwa mchezo mgumu, lakini tunataka kushinda mchezo huo kwani ni wazi kama tutashinda mchezo huo basi kwa asilimia 100 tutakuwa mabingwa msimu huu.

 

“Kuhusu kiwango bora cha Morrison, nadhani kila mmoja anajua kuwa ni mchezaji mzuri na anatufaidisha kwa vitu vingi uwanjani, kwenye michezo miwili iliyopita ametimiza vizuri majukumu yake ya kuhakikisha anatoa presha kwa wapinzani, siwezi kuhakikisha uwepo wake katika mchezo dhidi ya Yanga lakini tunamhitaji hata tunapokutana na safu ngumu ya ulinzi," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA: TUKIIFUNGA YANGA, UBINGWA NI ASILIMIA 100
SIMBA: TUKIIFUNGA YANGA, UBINGWA NI ASILIMIA 100
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqheoUmQz2W1y0BxtvYHGIKxpxdzMu5M-qFLYf9EhPHR-gkPUVEUpHZLPmtU7MRUcJlalV0eM-HmlE_TWWl-D2qF6EMrOS6oAdKTTHUKDhXTjkG38lcw3CqYezQZl0k0l6i4g63QnFccuh/w640-h426/Gomes+na+Tola.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqheoUmQz2W1y0BxtvYHGIKxpxdzMu5M-qFLYf9EhPHR-gkPUVEUpHZLPmtU7MRUcJlalV0eM-HmlE_TWWl-D2qF6EMrOS6oAdKTTHUKDhXTjkG38lcw3CqYezQZl0k0l6i4g63QnFccuh/s72-w640-c-h426/Gomes+na+Tola.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/simba-tukiifunga-yanga-ubingwa-ni.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/simba-tukiifunga-yanga-ubingwa-ni.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy