Serikali Yasema ni marufuku wanafunzi wanaoanza darasa lwa kwanza kudaiwa vyeti vya awali
HomeHabari

Serikali Yasema ni marufuku wanafunzi wanaoanza darasa lwa kwanza kudaiwa vyeti vya awali

Serikali imepiga marufuku wanafunzi wanaoanza elimu ya msingi (darasa la kwanza) kudaiwa vyeti vya elimu ya awali, kwa maelezo kuwa hakun...


Serikali imepiga marufuku wanafunzi wanaoanza elimu ya msingi (darasa la kwanza) kudaiwa vyeti vya elimu ya awali, kwa maelezo kuwa hakuna sera inayoelekeza shule za awali kutoa vyeti hivyo.

Marufuku hiyo imetolewa na Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu bungeni mjini Dodoma leo wakati akitoa jibu la nyongeza kufuatia swali lililoulizwa na Mbunge Mariamu Kisangi ambaye alitaka kujua kutokana utaratibu wa vyeti hivyo kutakiwa, serikali ina mpango gani kuhakikisha elimu hiyo inatolewa kwa wanafunzi wote.

"Mheshimia Spika,naomba nitoe tamko la kisera hapa...Ni marufuku shule kudai certificates  za awali kwa wanafunzi wanaoanza darasa la kwanza .Bado hatujafanya vizuri katika kuongeza access  ya watoto kuanza elimu ya awali. Kwa hiyo haileti mantiki kusema kila mtoto aanze darasa la kwanza awe na certificate ya awali,” amesema Waziri Ummy.

Hata hivyo ameahidi kuwa serikali itaweka nguvu kuhakikisha kuwa watoto wanapata elimu ya awali hususani katika maeneo ya vijijini.

Awali Naibu Waziri katika Wizara ya Tamisemi David Silinde alisema madai ya vyeti kwa wanafunzi wanaoandikishwa hudaiwa kwa shule binafsi lakini si utaratibu wa Serikali.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Serikali Yasema ni marufuku wanafunzi wanaoanza darasa lwa kwanza kudaiwa vyeti vya awali
Serikali Yasema ni marufuku wanafunzi wanaoanza darasa lwa kwanza kudaiwa vyeti vya awali
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-q6CLOnN46OqarK1SSkc9hcmDaUOnIujMpUSQmrX6fAZbbY5iQZJiiADyFxqyURr9KsFLzCYtS_J8JNTzfypqZ9iLqybWOC2ChiyhcgZMGVkyw17oBIXzpFMqEjWXcyvD0XOKknfKc8MN/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-q6CLOnN46OqarK1SSkc9hcmDaUOnIujMpUSQmrX6fAZbbY5iQZJiiADyFxqyURr9KsFLzCYtS_J8JNTzfypqZ9iLqybWOC2ChiyhcgZMGVkyw17oBIXzpFMqEjWXcyvD0XOKknfKc8MN/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/serikali-yasema-ni-marufuku-wanafunzi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/serikali-yasema-ni-marufuku-wanafunzi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy