Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Kenya siku ya Jumanne. Rais Samia atakuwa katika ziara...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Kenya siku ya Jumanne.
Rais Samia atakuwa katika ziara nchini humo kwa siku mbili ambapo atapokelewa na mwenyeji wake Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
Rais Samia atakuwa katika ziara nchini humo kwa siku mbili ambapo atapokelewa na mwenyeji wake Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta
Credit: MPEKUZI
Thanks for your time please share with your friends
COMMENTS