Rais Dk.Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar
HomeHabari

Rais Dk.Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa wale wote wal...

UN Urges Nigeria to Restore Law and Order, Probe Mass Killings
Wamakko: Only APC Can Rescue Nigeria from Security Challenge
France possible prelude to wave of attacks in Europe: Bild

 


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kwamba hatua kali zitachukuliwa kwa wale wote waliohusika na kasoro zilitolewa katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ili kasoro hizo zisije kurudiwa tena.


Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo jana  mara baada ya kukabidhiwa Ripoti za Hesabu za Serikali kwa mwaka 2019 -2020, huko katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, hafla ambayo imehudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Rais Dk. Mwinyi alisema kuwa fedha nyingi za Serikali zinapotea kwa kiasi kikubwa na iwapo hali hiyo itaendelea maendeleo hayatoweza kupatikana katika kuijenga nchi.


Alisema kuwa  lengo na madhumuni ya kupokea ripoti hiyo hadharani ni katika suala zima la kuhimiza uwajibikaji na utawala bora kwani ni lazima Serikali iwe wazi na kujulikana changamoto ndipo itakapowezekana kukabiliana na matatizo kama hayo.


Aliongeza kwamba katika Taasisi za ukusanyaji wa fedha bado kuna upotevu wa udhaifu wa mifumo na hata dhamira ovu ya watendaji katika ukusanyaji wa fedha za Serikali.


Rais Dk. Mwinyi alisisitiza kwamba mbali ya suala la ukusanyaji pia katika Taasisi hizo kunaonekana kwamba kuna udhaifu wa matumizi ambalo nalo limepelekea upotevu mkubwa wa fedha za Serikali ambapo hata kile kidogo kinachokusanywa hakitumiki vizuri.


Alisema kuwa hali hiyo ni vyema ikawafanya wote wakatafakari na kufanya  ama kuchukua hatua za msingi za kudhibiti hali hiyo.


Hivyo, Dk. Mwinyi alisema kuwa haiwezekani ionekane kumepokewa tu taarifa hiyo bali ni lazima hatua zinazohitajika zikachukuliwa hasa ikizingatiwa kwamba fedha hizo zinahitajika katika kuimarisha miradi ya maendeleo.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Dk.Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar
Rais Dk.Mwinyi Akabidhiwa Ripoti Ya CAG Zanzibar
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg35_lHe0KMiZIk8i_3e1XLbO8Lqft6nY8ymFuiA2iKmRZAkhss3n0QxzT-7dJ_dhfxuP5sdEDf7-03Z99WUQe7Sm_RhXz8kZ2XDEkHdH5L9vKzBrvjWmbli8iVeUm9SjQK-eCNpf2nxKva/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg35_lHe0KMiZIk8i_3e1XLbO8Lqft6nY8ymFuiA2iKmRZAkhss3n0QxzT-7dJ_dhfxuP5sdEDf7-03Z99WUQe7Sm_RhXz8kZ2XDEkHdH5L9vKzBrvjWmbli8iVeUm9SjQK-eCNpf2nxKva/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/rais-dkmwinyi-akabidhiwa-ripoti-ya-cag.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/rais-dkmwinyi-akabidhiwa-ripoti-ya-cag.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy