Raia 29 wa Burundi kortini wakidaiwa kuingia Nchini Tanzania bila kibali
HomeHabari

Raia 29 wa Burundi kortini wakidaiwa kuingia Nchini Tanzania bila kibali

Raia 29 wa Burundi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za kuingia nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Ba...

Mawaziri watakiwa kutenga muda wa kujitathmini binafsi na kikazi
Rais Samia akutana na kuzungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri
Ashikiliwa Na Jeshi La Polisi Kwa Tuhuma Za Kumuua Baba Yake Mzazi Kwa Kisu

Raia 29 wa Burundi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za kuingia nchini Tanzania bila kuwa na kibali.

Baadhi ya washtakiwa  hao ni Kasimu Kesi, Elias Shadra, Hilary Lozo, Richard Dismas, Ntahondereye Reverie, Nataka Yosam, Meraki Noah, Robert Lazaro, Samson Erick, Kazimana Aimable, John Ayoub na wengine 18.

Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao janaJumatano Mei 26, 2021 na wakili kutoka Idara ya Uhamiaji, Godfrey Ngwijo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi.

Ngwijo alidai Mei 25, 2021 katika eneo la Kariakoo, washtakiwa hao walikamatwa baada ya kudaiwa kuingia  nchini kinyume cha sheria.

Washtakiwa baada ya kusomewa shtaka linalowakabili, Hakimu Shaidi aliwauliza kama tuhuma zinazowakabili zina ukweli wowote.

Washtakiwa 16 kati ya 29 walikiri makosa huku wenzao 13 wakikana.
 
Wakili wa Serikali, Godfrey, aliomba mahakama iahirishe kesi ili ipangwe tarehe nyingine kwa ajili ya kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali.

Hakimu Shaidi alikubali kuahirisha kesi hiyo hadi Juni Mosi mwaka huu kwa ajili ya kuwasomea washtakiwa waliokiri na kuwapa muda washtakiwa waliokana, kutafakari na kufika na vibali vilivyowaruhusu kuishi nchini.

Kesi itakuja Juni Mosi mwaka huu na washtakiwa wote walipelekwa mahabusu isipokuwa watoto ambao walikabidhiwa kwa Idara ya Ustawi wa Jamii hadi tarehe ya kesi ijayo.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Raia 29 wa Burundi kortini wakidaiwa kuingia Nchini Tanzania bila kibali
Raia 29 wa Burundi kortini wakidaiwa kuingia Nchini Tanzania bila kibali
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRdrcCrcu0z6HxZhyDOx2T0xlhIZkHeWChZWjA0oDw0W_KEwZhte_l7KrCuI5WFEwwJSF7vAKKlejT0NtDaDSy4EK6xVj7dzlhoC8WW9OcMCE685H5icuk0K6FYiACTT6ohZLeSDAk8UKh/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRdrcCrcu0z6HxZhyDOx2T0xlhIZkHeWChZWjA0oDw0W_KEwZhte_l7KrCuI5WFEwwJSF7vAKKlejT0NtDaDSy4EK6xVj7dzlhoC8WW9OcMCE685H5icuk0K6FYiACTT6ohZLeSDAk8UKh/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/raia-29-wa-burundi-kortini-wakidaiwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/raia-29-wa-burundi-kortini-wakidaiwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy