NYOTA TISA WAKOSEKANA YANGA YA NABI
HomeMichezo

NYOTA TISA WAKOSEKANA YANGA YA NABI

YANGA jana inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC na kutinga hatua ya nusu fainali...


YANGA jana inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC na kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho.

Katika mchezo huo, Yanga ilishinda ila haikuwa na nyota wake tisa ambao walikuwa nje kutokana na sababu mbalimbali.

Nyota hao ni pamoja na:- Yassin Mustapha yeye ni majeruhi aliumia alipokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania.

Carlos Carlinhos yeye ni majeruhi aliumia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons.


Abdallah Shaibu, 'Ninja' alipata majeruhi.

Saido Ntibazonkiza anasumbuliwa na majeruhi aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya JKT Tanzania.

Haruna Niyonzima huyu ana matatizo ya kifamilia.

Michael Sarpong ameenguliwa kikosini kutokana na tatizo la utovu wa nidhamu.

Lamine Moro yeye pia ameenguliwa kikosini kutokana na  utovu wa nidhamu.

Kipa namba moja Metacha Mnata naye pia ameenguliwa kikosini kutokana na tatizo la utovu wa nidhamu.

 Fiston Abdulazack yeye alipangwa kwa wachezaji wa akiba ila hakuwa eneo la uwanja kwa kile alichoeleza kuwa hajisikii vizuri kwa kuwa muda wa mechi alikuwa anazungumza na wafuasi wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. 



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NYOTA TISA WAKOSEKANA YANGA YA NABI
NYOTA TISA WAKOSEKANA YANGA YA NABI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFMD2LZKYx1eENoG86qPih-iVvw4jZpxyFeaudMkmD1yXRiUU51A2tHtz_f45z47ZjjhBQiwm-FdVxiwiJH-V_37IN_VO750SL0-BQvIlBLOLqGV22bLqo8SOWTD6t9iNQs8JtSxvlNDqj/w612-h640/Ntibanzokiza+Bongo.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFMD2LZKYx1eENoG86qPih-iVvw4jZpxyFeaudMkmD1yXRiUU51A2tHtz_f45z47ZjjhBQiwm-FdVxiwiJH-V_37IN_VO750SL0-BQvIlBLOLqGV22bLqo8SOWTD6t9iNQs8JtSxvlNDqj/s72-w612-c-h640/Ntibanzokiza+Bongo.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/nyota-tisa-wakosekana-yanga-ya-nabi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/nyota-tisa-wakosekana-yanga-ya-nabi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy