LAMINE AWEKWA MTU KATI YANGA KISA NIDHAMU
HomeMichezo

LAMINE AWEKWA MTU KATI YANGA KISA NIDHAMU

  M ABOSI wa Yanga  Jumatano walimuita  nahodha wa timu hiyo,  Mghana, Lamine Moro  kwa kwa ajili ya kusikiliza shauri  lake la utovu wa ...

 


MABOSI wa Yanga Jumatano walimuita nahodha wa timu hiyo, Mghana, Lamine Moro kwa kwa ajili ya kusikiliza shauri lake la utovu wa nidhamu.

 

Hiyo ikiwa ni siku chache tangu beki huyo aondolewe kambini huko Ruangwa, Lindi wakati Yanga ikiwa katika maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC kutokana na ishu ya utovu wa nidhamu.


Akizungumza na Spoti Xtra, Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, CPA, Haji Mfikirwa, alisema wamechukua maamuzi ya kumuita beki huyo na kufanya naye kikao baada ya kupata malalamiko kutoka benchi la ufundi kwa ajili ya kusikiliza upande wa pili kabla ya kutenda haki kwa kutoa maamuzi.


“Benchi la Ufundi limelalamika, na kwa nafasi yao walichukua hatua za awali zilizopo kwenye mamlaka yao, kwa kuwa wamelileta kwa uongozi, sasa ni muhimu tukamsikiliza mlalamikiwa kisha kutoa maamuzi kama klabu.

 

“Suala la Lamine ni la kinidhamu lililoanzia kwenye bechi la ufundi na halihusiani chochote na kuidai klabu na kwamba mchezaji huyo hana deni lolote analoidai klabu kwa mujibu wa makubaliano," .

 

Lamine pia alikosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ambapo Yanga ilishinda mabao 2-0 na kusepa na pointi tatu muhimu.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: LAMINE AWEKWA MTU KATI YANGA KISA NIDHAMU
LAMINE AWEKWA MTU KATI YANGA KISA NIDHAMU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNdR1PmVSGGLKay8PrYt0aYobWCZC9EMd5oJpvCgIn0WqDCHxt8A7x8hE4NEeBH5RLr-WLQmu-N98mziET49o2l7BOFDPVrkzC1r90zusaZwrLdIPoXTv7hlt9k5O6ql2D6xT6o6t0V1SF/w640-h452/lamine+kazi.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNdR1PmVSGGLKay8PrYt0aYobWCZC9EMd5oJpvCgIn0WqDCHxt8A7x8hE4NEeBH5RLr-WLQmu-N98mziET49o2l7BOFDPVrkzC1r90zusaZwrLdIPoXTv7hlt9k5O6ql2D6xT6o6t0V1SF/s72-w640-c-h452/lamine+kazi.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/lamine-awekwa-mtu-kati-yanga-kisa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/lamine-awekwa-mtu-kati-yanga-kisa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy