KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI LEO
HomeMichezo

KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI LEO

 WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha michuano ya kombe la Azam Federation, Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar, Francis Baraza ame...


 WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha michuano ya kombe la Azam Federation, Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar, Francis Baraza amesema timu yake imepanga kuanza mazoezi leo jumatatu baada ya kuwapa mapumziko wachezaji wake ya sikui 7.

 

Baraza ameliambia Championi Jumatatu kuwa “Baada ya ushindi kwenye mchezo wetu na Ruvu Shooting niliwapa wachezaji wangu mapumziko ya siku 7 ili wapumzishe miili yao kwa sababu walionekana kuchoka sana.

 "Lakini leo Jumatatu tunatarajia kuanza mazoezi kwa ajili ya kumalizia michezo mitano ya ligi ambayo imebaki mpaka sasa.

 

“Kiukweli najivunia namna ambavyo wachezaji wangu wamebadilika kiuchezaji kutokana na namna wanavyocheza na kuipatia timu matokeo maana nimeingiza vitu vingi kiufundi kwenye miili yao na wamepokea hivyo kwenye mazoezi yetu yanayoanza kesho (leo) tunakwenda kurekebisha makosa madogo. 

“Kabla ya ligi Mei 16 tumepanga kucheza jumla ya michezo 3 ya kirafiki ili wachezaji wangu wakae sawa maana katika ligi kuu kwa sasa ushindani ni mkubwa na tunachotaka sisi ni ushindi tu ili tukae sehemu salama na tumejipanga kuonyesha ushindani unaotakiwa ili tuweze kutimiza malengo ya kuwa kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo ili tuepuke janga la kushuka daraja” alisema Baraza.

 

 




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI LEO
KAGERA SUGAR KUANZA MAZOEZI LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitMBWy5W7dAS9xqNjelAgL_IQr5P3oBwV8RiMOKtog6GREo4LsvLl_NeZNrqR8UENLbVQ2CpqtWtoa-78SMA4v225P5jcfEEhBJXKsM8790Xl0ixkz4jTCRJT0D_bqrZCaG5DRoERXcqLZ/w640-h616/Baraza+Kagera+Sugar.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitMBWy5W7dAS9xqNjelAgL_IQr5P3oBwV8RiMOKtog6GREo4LsvLl_NeZNrqR8UENLbVQ2CpqtWtoa-78SMA4v225P5jcfEEhBJXKsM8790Xl0ixkz4jTCRJT0D_bqrZCaG5DRoERXcqLZ/s72-w640-c-h616/Baraza+Kagera+Sugar.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/kagera-sugar-kuanza-mazoezi-leo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/kagera-sugar-kuanza-mazoezi-leo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy