AZAM FC: TULITUMIA NAFASI KUIFUNGA KMC, KAZI BADO
HomeMichezo

AZAM FC: TULITUMIA NAFASI KUIFUNGA KMC, KAZI BADO

 NAHODHA wa Azam FC, Agrey Morris amesema kuwa walitumia nafasi kwenye mchezo wao wa jana Mei 15 mbele ya Azam FC  na kupata ushindi. Aza...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
USAJILI UNAHITAJI AKILI UKIZUBAA UNAPIGWA
VIDEO:TASWA WAKABIDHIWA KOMBE NA DStv

 NAHODHA wa Azam FC, Agrey Morris amesema kuwa walitumia nafasi kwenye mchezo wao wa jana Mei 15 mbele ya Azam FC  na kupata ushindi.

Azam FC ilishinda mabao 2-1 Uwanja wa Azam Complex na kuwapa pointi tatu mazima mbele ya KMC ambao kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza Uwanja wa Uhuru ubao ulisoma KMC 1-0 Azam FC.

Mbele ya Kocha Mkuu, George Lwandamina vijana wake wakiongozwa na Prince Dube waliweza kulipa kisasi na kusepa na pointi zao.

Morris amesema:"Siwezi kusema kwamba ni mimi peke yangu niliyeipa ushindi timu hapana ila efforts, (jitihada) ambazo zilionyeshwa kwa wachezaji wote pia ninawapongeza wachezaji wa KMC mechi ilikuwa nzuri na ushindani wa wazi.

"Hamna mpira ambao tangu unaanza unashambulia wewe hapana, kila timu inapambana kupata matokeo. Tunachotakiwa kwa sasa ni kujipanga kwa ajili ya mechi zetu ili kupata matokeo,".

Kwenye msimamo, Azam FC ipo nafasi ya tatu ina pointi 57 ikiwa imecheza jumla ya 29 na kibindoni ina pointi 57 huku KMC ikibaki nafasi ya tano na pointi zake ni 41.




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC: TULITUMIA NAFASI KUIFUNGA KMC, KAZI BADO
AZAM FC: TULITUMIA NAFASI KUIFUNGA KMC, KAZI BADO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ4lDTmkTSKA5ZS1-1QqRS64UUSaDZ9NmyYZ2zH0olkF1HNVvUtQdjP2i6btR01RjkaB27rk1LHQezGJlh4-sJ7uvffwN3xlv4WWxcTEjIphlGlYaddURtMs7aC_VcqqPN0i94pxzAf2GC/w640-h640/azamfcofficial-186172122_1717830315056503_3072236321762036656_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ4lDTmkTSKA5ZS1-1QqRS64UUSaDZ9NmyYZ2zH0olkF1HNVvUtQdjP2i6btR01RjkaB27rk1LHQezGJlh4-sJ7uvffwN3xlv4WWxcTEjIphlGlYaddURtMs7aC_VcqqPN0i94pxzAf2GC/s72-w640-c-h640/azamfcofficial-186172122_1717830315056503_3072236321762036656_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/azam-fc-tulitumia-nafasi-kuifunga-kmc.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/azam-fc-tulitumia-nafasi-kuifunga-kmc.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy