ALIYEIFUNDISHA YANGA ASEMA IKIFUNGWA NA SIMBA INAPOTEZA UBINGWA
HomeMichezo

ALIYEIFUNDISHA YANGA ASEMA IKIFUNGWA NA SIMBA INAPOTEZA UBINGWA

  L UC  Eymael, raia wa  Ubelgiji, kocha wa  zamani wa kikosi cha  Yanga, amesema kuwa  ikiwa timu hiyo itafungwa  na Simba kwenye mchezo ...


 LUC Eymael, raia wa Ubelgiji, kocha wa zamani wa kikosi cha Yanga, amesema kuwa ikiwa timu hiyo itafungwa na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 8 habari ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara inaweza kuishia hapo.

 

Eymael alifutwa kazi ndani ya Yanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni lugha ya ubaguzi wa rangi jambo ambalo alilipinga.


Eymael ambaye kwa sasa yupo Ubelgiji alisema kuwa anaifuatilia ligi ya Tanzania kwa ukaribu na anatambua kwamba mchezo wa Simba dhidi ya Yanga utatoa picha ya bingwa.

 

“Najua kwamba Yanga watacheza na Simba mchezo wao ujao wa ligi na ikitokea wakifungwa basi safari yao ya kutwaa ubingwa msimu huu itakuwa ngumu kwa kuwa kama Simba watashinda mechi zao ambazo wapo nazo mkononi inakuwa ni fursa kwao kuweza kushinda taji hilo.

 

"Nimeifundisha Yanga na ninajua namna ilivyo, kwangu bado ninahesabu mafanikio makubwa ambayo niliweza kufanya ni kuitoa timu kutoka nafasi ya sita mpaka nafasi ya pili.


"Pia wakati ule niliweza kuifunga Simba kwenye mchezo wa ligi ilikuwa ni baada ya kupita muda wa miaka mitano hivyo Yanga wana kazi ya kufanya," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: ALIYEIFUNDISHA YANGA ASEMA IKIFUNGWA NA SIMBA INAPOTEZA UBINGWA
ALIYEIFUNDISHA YANGA ASEMA IKIFUNGWA NA SIMBA INAPOTEZA UBINGWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWM77Z20v_W-jRq-eVuPjx3fENC574yjDhccY9yA_u72XO2nNIQhMO8LjuL8adwnZXJBPAeIUHl8_6tHg_W_IoMZWHzIrVaOKsUMkQV-YXgkdVy6jW38en73uRJUQI6Quonz80jCDV3xdf/w640-h360/Manula+v+Yanga.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiWM77Z20v_W-jRq-eVuPjx3fENC574yjDhccY9yA_u72XO2nNIQhMO8LjuL8adwnZXJBPAeIUHl8_6tHg_W_IoMZWHzIrVaOKsUMkQV-YXgkdVy6jW38en73uRJUQI6Quonz80jCDV3xdf/s72-w640-c-h360/Manula+v+Yanga.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/aliyeifundisha-yanga-asema-ikifungwa-na.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/aliyeifundisha-yanga-asema-ikifungwa-na.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy