YANGA WATAJA SABABU YA NCHIMBI KUCHUKUA MIKOBA YA MUKOKO
HomeMichezo

YANGA WATAJA SABABU YA NCHIMBI KUCHUKUA MIKOBA YA MUKOKO

 JUMA Mwambusi, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa sababu kubwa iliyomfanya amtoe  Tonombe Mukoko na nafasi yake kuchukuliwa na m...

ILIKUWA MPANGO WA ARSENAL KUMSAJILI BEN WHITE
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE

 JUMA Mwambusi, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa sababu kubwa iliyomfanya amtoe  Tonombe Mukoko na nafasi yake kuchukuliwa na mshambuliaji Ditram Nchimbi ilikuwa ni kuongeza nguvu ya mashambulizi kwa wapinzani wao.

Aprili 10 wakati Yanga wakigawana pointi mojamoja na KMC kwenye mchezo wa ligi baada ya ubao kusoma, Yanga 1-1 KMC Nchimbi alitumia dakika 14 kuonyesha makeke yake. 

Ilikuwa dakika ya 76 ambapo aliingia kuchukua mikoba ya kiungo mshambuliaji Tonombe Mukoko, jambo hilo limekuwa likilalamikiwa na baadhi ya mashabiki ambao wamekuwa wakisema kwamba hawaelewi ilikuaje Nchimbi akaingia.

Akizungumza na Saleh Jembe, Mwambusi amesema kuwa sababu kubwa za kufanya mabadiliko ni za kiufundi na ziliweza kuleta matokeo.

"Niligundua kwamba tumekuwa hatupeleki mashambulizi kwa wapinzani wetu kwa kasi na haraka na kwa kuwa tulikuwa tunahitaji ushindi ilikuwa ni lazima tushambulie.

"Wale ambao waliingia wote walikuwa kwenye mpango ndio maana unaona kwamba baada ya hao kuingia ikiwa ni pamoja na Nchimbi kuna mabadiliko ambayo yalikuwa yanaonekana.

"Ushindani kwenye ligi ni mkubwa na awali niliweka wazi kwamba tunapokutana na KMC wapinzani wetu wamekuwa ni bora, lakini nasi pia bado tuna kazi ya kufanya kwa ajili ya mechi zijazo," amesema.

Yanga kwa sasa inajiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya Biashara United ambao unatarajiwa kuchezwa Aprili 17, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA WATAJA SABABU YA NCHIMBI KUCHUKUA MIKOBA YA MUKOKO
YANGA WATAJA SABABU YA NCHIMBI KUCHUKUA MIKOBA YA MUKOKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKpX39S09Fx69NZ1mA3R6YMn4p3OrsMa6sXnjCHrH1MYhGKgcMnDPP_3nPt3JAfKn39a1XyRXjENyOUIwNLWc_VitD0fqiBNFMzz9ZEUk6mwep4Je3B9hs1nEg-Y4l4qnLrVseKs1tpbsr/w476-h640/duma.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKpX39S09Fx69NZ1mA3R6YMn4p3OrsMa6sXnjCHrH1MYhGKgcMnDPP_3nPt3JAfKn39a1XyRXjENyOUIwNLWc_VitD0fqiBNFMzz9ZEUk6mwep4Je3B9hs1nEg-Y4l4qnLrVseKs1tpbsr/s72-w476-c-h640/duma.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/yanga-wataja-sababu-ya-nchimbi-kuchukua.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/yanga-wataja-sababu-ya-nchimbi-kuchukua.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy